‘Jadilini mambo yenye tija Katiba mpya’
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wameshauriwa kujadili mambo yenye tija kwa taifa, badala ya kubishania yasiyo ya msingi, kwa sababu, fedha wanazozitumia bungeni ni za wananchi watakaohoji kulikoni katiba bora isipopatikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xKutnriKbTw/VAWIwk65uSI/AAAAAAAGbBQ/pib8N-K5cOI/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKutnriKbTw/VAWIwk65uSI/AAAAAAAGbBQ/pib8N-K5cOI/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cddAfEHJ76g/VAWIwaLnxvI/AAAAAAAGbBI/8lTVYnqs_LM/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NB38tfhdHm8/VAWIwxrpIvI/AAAAAAAGbBM/XTuCl0lqumE/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_0181.jpg)
UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA
Mshehereshaji Bw. Salum Msellem kutoka Istiqama Radio akitambulisha meza kuu kwa washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja kwa Vijana Visiwani Pemba yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Madungu. Mratibu wa YUNA kisiwani Pemba, Bw. Mohammed Ali, akisoma taarifa ya maendeleo ya vilabu vya Umoja wa Mataifa visiwani humo na changamoto zinazowakabili kwa walezi wa vilabu hivyo.… ...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Maridhiano muhimu kupata Katiba Mpya, nchi bora, imara na yenye ustawi wa uhakika
BAADHI ya Watanzania wanaamini kwamba kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu kwa hivi sasa, ipo haja ya kuwa na maridhiano kati ya wanasiasa wetu na vilevile makubaliano kati ya watawala na watawaliwa juu ya jinsi watawaliwa wanavyotaka watawala waendeshe nchi na mambo yao, kwa manufaa ya watawaliwa na siyo watawala peke yao.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Tukitaka Katiba Mpya nzuri, tufanye mambo kwa muwala
Zimesalia siku 69 tu Watanzania kupiga Kura ya Maoni ya kukubali au kukataa Katiba Inayopendekezwa. Sheria ya kura ya Maoni ya 2013 imeelekeza hatua kadhaa za kufuata kabla Kura ya Maoni kupigwa.
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Inashangaza kulalamikia mambo yasiyo na tija
Katika miaka ya sasa dhana ya kujifunza kutokana na makosa haipo tena. Kwa nini tujifunze kutokana na makosa wakati ukweli uko mbele yetu?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ac5FLsmlzmM/UzMwPM9njBI/AAAAAAAFWro/4iiweQTmQuQ/s1600/unnamed+(11).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImoCZ-m5vD3Z-KdWxwMXIbF3y1wab6LobNGGKbqQju4AimcDbW2jAOdhmo*zFEobGlME87NaPAiJD5n*6jw1pqI/mahaba.jpg)
MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!
KUNA watu ambao huwa wanaumiza kichwa kuhusu mambo ya kuwafanyia wenzi wao ambayo yana thamani kubwa. Kwa bahati mbaya sana ni kwamba wengi huwaza kuhusu fedha na mali. Rafiki zangu, yapo mambo ambayo yanaweza kuonekana ya kawaida tu au si ya lazima sana lakini kumbe yana uzito na thamani kubwa sana kwenye uhusiano. Wengi wakitaka kufanya jambo la kumfurahisha mpenzi wake, huwaza katika ukubwa. Hufikiri kuhusu outing, mavazi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*oxnDj2upFLMwZTCdobetmIoVJ9TKOD4yy4ylfJ5-j2f1hXX3R7UsTplA1rEQyp6ak8D3878Ljtmfsu39GDCDy7/mahaba.jpg)
MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!-2
NI siku nyingine tunakutana tena kwenye safu yetu nzuri ya Love & Life. Lengo ni lilelile, kupeana mawili matatu kuhusu maisha yetu ya kimapenzi.Kila siku tunapaswa kujifunza zaidi kuhusu uhusiano na mapenzi maana maisha yetu hatuwezi kuwakwepa wenzi wetu hivyo ni vyema kujua mbinu mpya kila wakati za kuwafanya wenzetu wafurahie uwepo wetu. Nimekuwa nikisisitiza mara kwa mara, usimwonyeshe mpenzi wako kuwa hana thamani. Mpe...
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Tuipe mtazamo mpya michezo ilete tija
Mara nyingi tumeambiwa kuwa michezo ni burudani, furaha pia ni sekta inayoweza kutoa ajira kwa vijana au watu wengine wanaojihusisha nayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania