Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Jadilini mambo yenye tija Katiba mpya’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wameshauriwa kujadili mambo yenye tija kwa taifa, badala ya kubishania yasiyo ya msingi, kwa sababu, fedha wanazozitumia bungeni ni za wananchi watakaohoji kulikoni katiba bora isipopatikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA

Baadhi ya Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba wakiimba kwa furaha wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (wa kwanza kulia) akipitia taarifa ya mapendekezo ya mtandao wa wanawake na Katiba Tanzania wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Bi. Usu Mallya akitoa mada kuhusiana na suala la kijinsia...

 

11 years ago

GPL

UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA‏

Mshehereshaji Bw. Salum Msellem kutoka Istiqama Radio akitambulisha meza kuu kwa washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja kwa Vijana Visiwani Pemba yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Madungu. Mratibu wa YUNA kisiwani Pemba, Bw. Mohammed Ali, akisoma taarifa ya maendeleo ya vilabu vya Umoja wa Mataifa visiwani humo na changamoto zinazowakabili kwa walezi wa vilabu hivyo.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Maridhiano muhimu kupata Katiba Mpya, nchi bora, imara na yenye ustawi wa uhakika

BAADHI ya Watanzania wanaamini kwamba kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini mwetu kwa hivi sasa, ipo haja ya kuwa na maridhiano kati ya wanasiasa wetu na vilevile makubaliano kati ya watawala na watawaliwa juu ya jinsi watawaliwa wanavyotaka watawala waendeshe nchi na mambo yao,  kwa manufaa ya watawaliwa na siyo watawala peke yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Tukitaka Katiba Mpya nzuri, tufanye mambo kwa muwala

Zimesalia siku 69 tu Watanzania kupiga Kura ya Maoni ya kukubali au kukataa Katiba Inayopendekezwa. Sheria ya kura ya Maoni ya 2013 imeelekeza hatua kadhaa za kufuata kabla Kura ya Maoni kupigwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Inashangaza kulalamikia mambo yasiyo na tija

Katika miaka ya sasa dhana ya kujifunza kutokana na makosa haipo tena. Kwa nini tujifunze kutokana na makosa wakati ukweli uko mbele yetu?

 

11 years ago

Michuzi

Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda akiongea na waandishi wa habari leo mjini Dodoma juu ya mambo mbalimbali ikiwemo kuwaomba wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuepuka mivutano na badala yake wazingatie mambo muhimu yatakayosaidia Taifa na Watanzania kupata Katiba mpya .

 

11 years ago

GPL

MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!

KUNA watu ambao huwa wanaumiza kichwa kuhusu mambo ya kuwafanyia wenzi wao ambayo yana thamani kubwa. Kwa bahati mbaya sana ni kwamba wengi huwaza kuhusu fedha na mali. Rafiki zangu, yapo mambo ambayo yanaweza kuonekana ya kawaida tu au si ya lazima sana lakini kumbe yana uzito na thamani kubwa sana kwenye uhusiano. Wengi wakitaka kufanya jambo la kumfurahisha mpenzi wake, huwaza katika ukubwa. Hufikiri kuhusu outing, mavazi ya...

 

11 years ago

GPL

MAMBO YENYE THAMANI KWENYE MAPENZI!-2

NI siku nyingine tunakutana tena kwenye safu yetu nzuri ya Love & Life. Lengo ni lilelile, kupeana mawili matatu kuhusu maisha yetu ya kimapenzi.Kila siku tunapaswa kujifunza zaidi kuhusu uhusiano na mapenzi maana maisha yetu hatuwezi kuwakwepa wenzi wetu hivyo ni vyema kujua mbinu mpya kila wakati za kuwafanya wenzetu wafurahie uwepo wetu. Nimekuwa nikisisitiza mara kwa mara, usimwonyeshe mpenzi wako kuwa hana thamani. Mpe...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuipe mtazamo mpya michezo ilete tija

Mara nyingi tumeambiwa kuwa michezo ni burudani, furaha pia ni sekta inayoweza kutoa ajira kwa vijana au watu wengine wanaojihusisha nayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani