Wajumbe wa Bunge Maalum wapigwa msasa masuala ya kijinsia mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG), Mhe. Anna Abdallah akifungua Semina iliyoandaliwa na Umoja huo kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba kwaajili ya Wajumbe wa Bunge Maalum kuhusu masuala ya Jinsia na Katiba iliyofanyika jana 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.
Katibu wa Umoja wa Wanawake Wabunge Tanzania (TWPG), Mhe. Angellah Kairuki (MB) akizungumzia masuala mbalimbali ya kijinsia katika Semina iliyoandaliwa na Umoja huo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4XiULCL5PRo/Uwm2iUJ_QDI/AAAAAAAFO1E/Tb_N4-HiJP8/s72-c/bu2.jpg)
wajumbe wanawake wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba wakutana mjini Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-4XiULCL5PRo/Uwm2iUJ_QDI/AAAAAAAFO1E/Tb_N4-HiJP8/s1600/bu2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tHjNDCeH_oo/Uwm2l0xHJfI/AAAAAAAFO1M/MdzZIIYIkFU/s1600/bu4.jpg)
11 years ago
MichuziKUTOKA BUNGENI: WAZIRI MKUU AKIWA NA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EOHkW_13kk/Uy3ZA6HM2XI/AAAAAAAFVsA/25uSffzyo6A/s72-c/unnamed+(55).jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
Na Tiganya Vincent-Dodoma
Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.
Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e4g6CyDH-II/UyR6UamoxyI/AAAAAAAFTms/GVkx-II8fvQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA DODOMA OFISINI KWAKE KUZUNGUMZIA MASUALA YA USHIRIKIANO NA MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-e4g6CyDH-II/UyR6UamoxyI/AAAAAAAFTms/GVkx-II8fvQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nZEMdukSZEc/UyR6V9bablI/AAAAAAAFTm0/Js8u7aWVbsI/s1600/unnamed+(16).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania