Wajumbe watakiwa kuwatetea vijana
Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Dodoma Mjini, Viviani Komu amewataka vijana ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuonyesha uzalendo kwa kutetea masilahi kwa vijana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K9hO7wVjFwk/VcNL4ePXoVI/AAAAAAAHuko/ZynudJvddmA/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRAjNtc9ddI/VCAmgtfPoUI/AAAAAAAGk_4/djFywTB9NdU/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wajumbe watakiwa kutopotosha wananchi
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kutowapotosha Watanzania kuhusiana na muundo wa serikali tatu na badala yake wawaambie ukweli. Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na mjumbe wa Bunge hilo,...
11 years ago
Habarileo24 Mar
Wajumbe bunge maalumu watakiwa kuacha ubinafsi, uchoyo
KUTOKANA na kuongezeka mivutano na mpasuko miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imeshauriwa njia pekee ya kunusuru mchakato wa kuandikwa kwa Katiba mpya ni wajumbe kuacha ubinafsi, uchoyo na misimamo ya kisiasa badala yake wajenge maridhiano.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mawakili watano wajitosa kuwatetea watuhumiwa ugaidi
10 years ago
Dewji Blog24 Jan
Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kw kujitolea zaidi
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) akitoa nasaha kwa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati akizindua Balaza la 13 la Michezo leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo. Wajumbe waliohudhuria hafla hizo ni pamoja na ,Mkurugenzi wa PSPF Adam Mayingu, Zacharia Hans Pope, Jamal Rwambow, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Habarileo05 Feb
Ashauri wajumbe Bunge la Katiba kupigania vijana
WAJUMBE watakaopata nafasi ya kuingia katika Bunge la Katiba, wameshauriwa kuhakikisha wanapigania masuala ya vijana . Mwenyekiti wa Taasisi ya Vijana nchini (TYVA), Elly Ahimidiwe alidai katika rasimu ya Katiba mpya, kijana hajafafanuliwa kwa mapana zaidi, hali inayoonesha kundi hilo limetengwa.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Vijana watakiwa kuchangamka
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OmtqdW6cIJ4/VMPT4f3PisI/AAAAAAAG_Wg/o3V3-DIQFS0/s72-c/PIX1aa.jpg)
Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kwa kujitolea zaidi
![](http://1.bp.blogspot.com/-OmtqdW6cIJ4/VMPT4f3PisI/AAAAAAAG_Wg/o3V3-DIQFS0/s1600/PIX1aa.jpg)