Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakatoliki kusali jumamosi

Askofu-Severin-NiwemugiziUPENDO MOSHA NA NORA DAMIAN

BAADHI ya Majimbo ya Kanisa Katoliki nchini, yametoa ruhusa maalum kwa mapadri yakiwataka kuendesha ibada zao siku ya Jumamosi ya Oktoba 24 badala ya Jumapili mwaka huu ili kutoa nafasi kwa waamini wao kushiriki Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani kwa uhuru.

Hatua hiyo inatokana na siku ya Jumapili ambayo waamini wengi wa kanisa hilo huabudu kuangukia Oktoba 25 ambayo ni siku ya Uchaguzi Mkuu.

Habari za uhakika ambazo MTANZANIA imezipata mjini Dar es Salaam...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu namna ya kusali sala ya Idi nyumbani

Virusi vya Corona: Fahamu namna ya kusali sala ya Idi nyumbani

 

5 years ago

BBCSwahili

Ramadhan: Kanisa moja Ujerumani limefungua milango kwa Waislamu kusali

Hatua mpya za kutokaribiana kuna maanisha kuwa waumini hao hawakuwa na pakuenda hadi pale Wakiriso walipochukua hatua.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki na upangaji uzazi

Kanisa Katoliki limekuwa likipinga upangaji uzazi na wengi wa waumini wake huzingatia hili licha ya kampeni zinazowahimiza watu watumie njia mbalimbali za kupanga uzazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakatoliki Dar kuliombea taifa

Karismatiki Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo litafanya sala maalumu kuliombea taifa amani na kuweza kukamilisha salama Mchakato wa Katiba Mpya na chaguzi zijazo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.

Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yamekasirishwa na hatua ya kanisa hilo ya kuwakataa mashoga.

 

5 years ago

Michuzi

Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa katika Ibada ya Jumapili ya Tano baada ya Pasaka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chato mkoani Geita leo tarehe 17 Mei 2020.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chato mkoani Geita leo tarehe 17 Mei 2020 mara...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakatoliki watakiwa kuisoma Katiba pendekezwa

WAKRISTO wa dhehebu la Katoliki nchini wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kabla ya kupiga kura ya maoni ili kufanya chaguo sahihi. Hayo yalisemwa juzi na Paroko wa Parokia ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wajiondoa kwenye uchaguzi Burundi

Kanisa Katoliki nchini Burundi limejiondoa katika mchakato mzima wa uchunguzi na uongozi wa aina yoyote katika uchaguzi huo.

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAKATOLIKI WAFANYA MISA UFUKWENI

Askofu Eusebius Nzigilwa akiwaasa vijana (Hawapo pichani). ….akiwa na viongozi wengine.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani