Wakatoliki na upangaji uzazi
Kanisa Katoliki limekuwa likipinga upangaji uzazi na wengi wa waumini wake huzingatia hili licha ya kampeni zinazowahimiza watu watumie njia mbalimbali za kupanga uzazi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Wakatoliki kusali jumamosi
UPENDO MOSHA NA NORA DAMIAN
BAADHI ya Majimbo ya Kanisa Katoliki nchini, yametoa ruhusa maalum kwa mapadri yakiwataka kuendesha ibada zao siku ya Jumamosi ya Oktoba 24 badala ya Jumapili mwaka huu ili kutoa nafasi kwa waamini wao kushiriki Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani kwa uhuru.
Hatua hiyo inatokana na siku ya Jumapili ambayo waamini wengi wa kanisa hilo huabudu kuangukia Oktoba 25 ambayo ni siku ya Uchaguzi Mkuu.
Habari za uhakika ambazo MTANZANIA imezipata mjini Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Wakatoliki Dar kuliombea taifa
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.
11 years ago
Habarileo24 Apr
Wakatoliki leo kuombea Bunge maalumu
KANISA Katoliki leo wanaendesha ibada maalumu bungeni mjini Dodoma kuombea Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gYxGligqRT1vfdVPHzpu4d9TXFeI7OrppzSRc7ohfPzW3zADZHf7AOVGNx*1ogz7mzZCdQLadofX7T5lbNWCXd4Tk-EoD9pE/1.jpg?width=650)
VIJANA WAKATOLIKI WAFANYA MISA UFUKWENI
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wakatoliki watakiwa kuisoma Katiba pendekezwa
WAKRISTO wa dhehebu la Katoliki nchini wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kabla ya kupiga kura ya maoni ili kufanya chaguo sahihi. Hayo yalisemwa juzi na Paroko wa Parokia ya...
10 years ago
BBCSwahili28 May
Wakatoliki wajiondoa kwenye uchaguzi Burundi
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Upangaji madaraja kidato cha 4 gizani