Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakatoliki na upangaji uzazi

Kanisa Katoliki limekuwa likipinga upangaji uzazi na wengi wa waumini wake huzingatia hili licha ya kampeni zinazowahimiza watu watumie njia mbalimbali za kupanga uzazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Wakatoliki kusali jumamosi

Askofu-Severin-NiwemugiziUPENDO MOSHA NA NORA DAMIAN

BAADHI ya Majimbo ya Kanisa Katoliki nchini, yametoa ruhusa maalum kwa mapadri yakiwataka kuendesha ibada zao siku ya Jumamosi ya Oktoba 24 badala ya Jumapili mwaka huu ili kutoa nafasi kwa waamini wao kushiriki Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani kwa uhuru.

Hatua hiyo inatokana na siku ya Jumapili ambayo waamini wengi wa kanisa hilo huabudu kuangukia Oktoba 25 ambayo ni siku ya Uchaguzi Mkuu.

Habari za uhakika ambazo MTANZANIA imezipata mjini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakatoliki Dar kuliombea taifa

Karismatiki Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo litafanya sala maalumu kuliombea taifa amani na kuweza kukamilisha salama Mchakato wa Katiba Mpya na chaguzi zijazo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.

Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yamekasirishwa na hatua ya kanisa hilo ya kuwakataa mashoga.

 

11 years ago

Habarileo

Wakatoliki leo kuombea Bunge maalumu

Askofu wa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas NyaisongaKANISA Katoliki leo wanaendesha ibada maalumu bungeni mjini Dodoma kuombea Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAKATOLIKI WAFANYA MISA UFUKWENI

Askofu Eusebius Nzigilwa akiwaasa vijana (Hawapo pichani). ….akiwa na viongozi wengine.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakatoliki watakiwa kuisoma Katiba pendekezwa

WAKRISTO wa dhehebu la Katoliki nchini wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kabla ya kupiga kura ya maoni ili kufanya chaguo sahihi. Hayo yalisemwa juzi na Paroko wa Parokia ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wajiondoa kwenye uchaguzi Burundi

Kanisa Katoliki nchini Burundi limejiondoa katika mchakato mzima wa uchunguzi na uongozi wa aina yoyote katika uchaguzi huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA

Matokeo ya uchunguzi wa tuhuma za upangaji matokeo zinazowakabili waamuzi watatu wa Tanzania yatatolewa na shirikisho la dunia, FIFA .

 

11 years ago

Mwananchi

Upangaji madaraja kidato cha 4 gizani

Serikali bado haijaamua utaratibu utakaotumika katika kupanga madaraja ya watahiniwa wa mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani