Wakazi Dodoma wadai kutoridhishwa na Bunge lililomalizika
Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wamesema hawakuridhishwa na utendaji kazi wa Wabunge katika bunge lililomalizika na kuwataka Wabunge wapya na wale waliorudi katika awamu nyingine kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi kwani baadhi ya wanaomaliza muda wao walionekana kutetea vyama vyao.
Bunge jipya linatarajiwa kuanza wiki ijayo ambapo kwa sasa tayari baadhi ya Wabunge wamekwishaanza kuwasili mkoani Dodoma kwa ajili ya vikao hivyo vya bunge la 11.
Wananchi hao wameyasema hayo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XjgVr8hRH6I/VDHP97QoYbI/AAAAAAAGoNE/DRSpW2L9ZwA/s1600/7.jpg)
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,
![](http://3.bp.blogspot.com/-q01ufSDEll8/VDJOCTrlcuI/AAAAAAACsT0/Xpoq0k0Ow9Y/s1600/IMG_3191.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]
5 years ago
MichuziSPIKA NDUGAI AONGOZA VIONGOZI MKOA WA DODOMA KUKAGUA UJENZI WA SHULE YA WASICHANA YA BUNGE MKOANI DODOMA
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajumbe wa...
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Takataka zawawatisha wakazi Dodoma
NA PENDO MANGALA, DODOMA
WAKAZI wa maeneo ya Chang’ombe na Kizota katika Manispaa ya Dodoma, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kuzagaa kwa takataka karibu na maeneo wanayoishi.
MTANZANIA imebaini kuwapo kwa takataka hizo katika maeneo hayo ambazo zimesababisha mazingira hayo kuwa katika hatari ya kuambukiza magonjwa na kuwa tishio kwa wakazi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.
Mmoja wa wakazi wa Chang’ombe ambaye hakutaka kutajwa jina lake, alisema taka hizo...
10 years ago
Habarileo05 Apr
Polisi yawahakikishia ulinzi wakazi Dodoma
JESHI la Polisi mkoani Dodoma, limewahakikishia wananchi wake kuwa litaimarisha ulinzi katika maeneo yote, na kutaka wananchi kuwa makini na kuzingatia sheria za usalama barabarani wakati wa Sikukuu ya Pasaka.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-hElb_rGp6VY/VaLFq8PSj0I/AAAAAAAAhLM/wfwYmUaGt54/s72-c/50.jpg)
magufuli atambulishwa kwa wakazi wa DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hElb_rGp6VY/VaLFq8PSj0I/AAAAAAAAhLM/wfwYmUaGt54/s640/50.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3GFmCbWBWXA/VaLFrjk7INI/AAAAAAAAhLU/Lf4USglXNsM/s640/52.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HUOq6-MyDcA/VaLFxMBkN7I/AAAAAAAAhLc/07TbWvSLc5A/s640/56.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nr_2Jwpj02c/VaLFxn7XAaI/AAAAAAAAhLg/dafq2Z2nUMc/s640/58.jpg)