Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Takataka zawawatisha wakazi Dodoma

NA PENDO MANGALA, DODOMA

WAKAZI wa maeneo ya Chang’ombe na Kizota katika Manispaa ya Dodoma, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kuzagaa kwa takataka karibu na maeneo wanayoishi.
MTANZANIA imebaini kuwapo kwa takataka hizo katika maeneo hayo ambazo zimesababisha mazingira hayo kuwa katika hatari ya kuambukiza magonjwa na kuwa tishio kwa wakazi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.
Mmoja wa wakazi wa Chang’ombe ambaye hakutaka kutajwa jina lake, alisema taka hizo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC KATAMBI ALIAGIZA JIJI LA DODOMA KUMALIZA CHANGAMOTO YA TAKATAKA NDANI YA SAA 72


Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kuepukana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa Kipindupindu, Jiji la Dodoma limeagizwa kuchukua hatua za haraka kwa kumaliza changamoto ya uchafu ambayo imekua ikilalamikiwa na wananchi wake.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi leo wakati alipofanya ziara ya kukagua usafi wa mazingira katika mitaa na masoko mbalimbali ya jiji hilo.

Katika ziara yake hiyo, DC Katambi amebaini uwepo wa takataka nyingi kwenye mitaa...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akitumbuiza jukwaani pamoja na mcheza shoo wake mbele ya mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika ndani ya uwanja wa Jamhuri,mkoani Dodoma usiku wa kumkia leo.
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,Mkali mwingine wa muziki wa...

 

10 years ago

GPL

MVUA ZAWATESA WAKAZI WA KISASA, DODOMA

MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani Dodoma zimekuwa kero kwa wakazi wa eneo la Kisasa kufuatia nyumba zao kuwa katika mkondo wa maji. Wananchi wamekuwa wakiitupia lawama CDA iliyowauzia viwanja hivyo ambavyo vipo kwenye mkondo wa maji ambapo mvua zikinyesha hali inakuwa tete kama inavyoonekana pichani. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yawahakikishia ulinzi wakazi Dodoma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeJESHI la Polisi mkoani Dodoma, limewahakikishia wananchi wake kuwa litaimarisha ulinzi katika maeneo yote, na kutaka wananchi kuwa makini na kuzingatia sheria za usalama barabarani wakati wa Sikukuu ya Pasaka.

 

10 years ago

Vijimambo

magufuli atambulishwa kwa wakazi wa DODOMA

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.John Pombe Magufulu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMhe. Magufuli akiwapa mikono wananchi waliojitokeza kwa wingi kuja kumsalimia na kumuona mgombea huyo wa CCM.Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Dodoma kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMgombea wa Urais wa CCM Mhe. John Magufuli akizungumza wakazi wa Dodoma ikiwa sehemu yake...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Dodoma wadai kutoridhishwa na Bunge lililomalizika

 

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wamesema hawakuridhishwa na utendaji kazi wa Wabunge katika bunge lililomalizika na kuwataka Wabunge wapya na wale waliorudi katika awamu nyingine kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi kwani baadhi ya wanaomaliza muda wao walionekana kutetea vyama vyao.

Bunge jipya linatarajiwa kuanza wiki ijayo ambapo kwa sasa tayari baadhi ya Wabunge wamekwishaanza kuwasili mkoani Dodoma kwa ajili ya vikao hivyo vya bunge la 11.

Wananchi hao wameyasema hayo...

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA YAWAONYESHA NJIA WAKAZI WA DODOMA

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahabaakiongea na baaddhi ya wakazi wa Dodoma mjini waliyohudhuria kwenye Semina ya Kamata Fursa ndani ya Ukumbi wa Royal Villege mapema leo,ambapo aliweze kuongea nao na kuwapatia mbinu mbalimbali za kujikwamua kupitia lasilimali zilizopo kwenye mazo yapatikanayo ndani ya mkoa huo. Msemaji kutoka G5 One, Pius Mikongoti akiwalezea wakazi wa Dodoma namna ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia wakazi wa Mpwapwa mkoani Dodoma

1

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mpwapwa kwenye uwanja wa mikutano Mnarani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ahadi zilizoahidiwa na CCM zitatekelezwa kama ilivyopangwa.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa Mpwapwa mjini na kuwaambia katika uongozi wake atawapa nafasi wale watu wanaotakiwa na wananchi wenyewe kuwaongoza na kusema hakutokuwa na makosa ya kukata majina.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM...

 

11 years ago

Mwananchi

Kichaa cha Mbwa: Ugonjwa unaowaathiri wakazi Dodoma

>Mbwa ni mnyama wa kufugwa mwenye manufaa chekwa. Anaisaidia jamii kwa mambo mbalimbali ikiwemo ulinzi, kazi za kiusalama na  hata utunzaji wa mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani