WAKAZI WA KIMBIJI WAMPENDEKEZA DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KUGOMBEA TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/-WC38DyzejBk/Vbqr6YdBHbI/AAAAAAAD12Y/KqYEBEWZto8/s72-c/Muhidini%2BBunaya%2BSanya%2B%2B-aka%2BJembe%2Bla%2Bmpini%2Bwa%2Bchuma%2B%2BDiwani%2Bpendekezo%2Bla%2Bwapiga%2Bkura%2Bwa%2BKata%2Bya%2BKimbiji%252CDar-es-salaam.jpg)
Wakazi wa Kata ya Kimbiji,Wilaya Temeke mkoani Dar-es-Salaam wamefunguka tena kwa kumpendekeza na kumtaka Diwani wao Mheshimiwa Muhidini Bunaya Sanya kugombea tena nafasi ya udiwani wa Kata hiyo ya Kimbiji hiliyopo wilaya Temeke. Wananchi wa wamemtaja Diwani wao huyo kijana Muhidini Bunaya Sanya kuwa ni mchapa kazi,mbunifu na mpenda maendeleo mwenye uchungu na Kimbiji. Wakazi wa Kata ya Kimbiji wanawaomba wananchi wote kusimama bega kwa bega kwa kumpa kura zote za maoni Bwana Muhidini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lMv9PkLk8UY/VbsGg3qMMOI/AAAAAAAHs3M/l0_2f0bsBb8/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
KATA YA KIMBIJI WAMPENDEKEZA DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KUGOMBEA TENA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-lMv9PkLk8UY/VbsGg3qMMOI/AAAAAAAHs3M/l0_2f0bsBb8/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Wakazi wa Kata ya Kimbiji wanawaomba wananchi wote kusimama bega kwa bega kwa kumpa kura zote za maoni Bwana Muhidini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Diwani Muhidini Bunaya Sanya aka "JEMBE LA MPINI WACHUMA' wa Kata ya Kimbiji apeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboCHAGUA MUHIDIN BUNAYA SANYA - Mgombe udiwani Kata Kimbiji,Dar-es-Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-_x3olI0Ckg4/VhkEumbxqZI/AAAAAAAEAMk/qBgBnavpins/s640/Muhidini%2BBunaya%2BSanya%2B%2B-aka%2BJembe%2Bla%2Bmpini%2Bwa%2Bchuma%2B%2BDiwani%2Bpendekezo%2Bla%2Bwapiga%2Bkura%2Bwa%2BKata%2Bya%2BKimbiji%252CDar-es-salaam%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyjsNjH8OkiaPaiDs2x9FjqGrntU*GPNhwxKMBG*P5O6Rp459W2CEBVsFSzW-Wrb0uOUEFILPo3kYE7jwIqEtsoU/22222.jpg?width=650)
DK. CHENI KUGOMBEA TENA BONGO MOVIE
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Bashir kugombea tena urais Sudan
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Ndesamburo kugombea tena Moshi Mjini
Na Rodrick Mushi, Moshi
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema), amesema ataendelea kutetea nafasi yake ya ubunge katika jimbo hilo endapo chama chake kitampitisha katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Ndesamburo alitoa kauli hiyo jana katika ufunguzi wa semina ya Baraza la Wanawake wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro (BAWACHA), ambapo alisema chama kisipompitisha yupo tayari kushirikiana na atakayechaguliwa ili jimbo hilo liendelee kubaki mikononi mwa Chadema.
Alisema...
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Rais Goodluck kugombea tena urais
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ADAHAMINIWA TENA KUGOMBEA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-3jFLXWTdX3s/VUc9zlnIlaI/AAAAAAABtqs/i-kqalbjz-w/s640/ud2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gp8qvt9ryOA/VausreKk9zI/AAAAAAAHqhI/4JMvyfSufoQ/s72-c/timthumb.jpg)
JUST IN: WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKATAA KUGOMBEA TENA UBUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-gp8qvt9ryOA/VausreKk9zI/AAAAAAAHqhI/4JMvyfSufoQ/s640/timthumb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NtSPEti9LqA/VausxhOJRTI/AAAAAAAHqhU/wItyIfFwHjk/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)