Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA KIMBIJI WAMPENDEKEZA DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KUGOMBEA TENA

Wakazi wa Kata ya Kimbiji,Wilaya Temeke mkoani Dar-es-Salaam wamefunguka tena kwa kumpendekeza na kumtaka Diwani wao Mheshimiwa Muhidini Bunaya Sanya kugombea tena nafasi ya udiwani wa Kata hiyo ya Kimbiji hiliyopo wilaya Temeke. Wananchi wa wamemtaja Diwani wao huyo kijana Muhidini Bunaya Sanya kuwa ni mchapa kazi,mbunifu na mpenda maendeleo mwenye uchungu na Kimbiji. Wakazi wa Kata ya Kimbiji wanawaomba wananchi wote kusimama bega kwa bega kwa kumpa kura zote za maoni Bwana Muhidini...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KATA YA KIMBIJI WAMPENDEKEZA DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KUGOMBEA TENA 2015

Wakazi wa Kata ya Kimbiji,Wilaya Temeke mkoani Dar-es-Salaam wamefunguka tena kwa kumpendekeza na kumtaka Diwani wao Mheshimiwa Muhidini Bunaya Sanya kugombea tena nafasi ya udiwani wa Kata hiyo ya Kimbiji hiliyopo wilaya Temeke. Wananchi wa wamemtaja Diwani wao huyo kijana Muhidini Bunaya Sanya kuwa ni mchapa kazi,mbunifu na mpenda maendeleo mwenye uchungu na Kimbiji. 
Wakazi wa Kata ya Kimbiji wanawaomba wananchi wote kusimama bega kwa bega kwa kumpa kura zote za maoni Bwana Muhidini...

 

10 years ago

Michuzi

Diwani Muhidini Bunaya Sanya aka "JEMBE LA MPINI WACHUMA' wa Kata ya Kimbiji apeta

Wakazi wa Kata ya Kimbiji,Wilaya Temeke mkoani Dar-es-Salaam wamemchagua tena katikakura za maoni Diwani wao Mheshimiwa Muhidini Bunaya Sanya kugombea tena nafasi ya udiwani wa Kata hiyo ya Kimbiji hiliyopo wilaya Temeke.  Diwani wao huyo kijana Muhidini Bunaya Sanya (pichani) ameshinda kwa kura za maoni 1462 dhidi ya mpinzani wake ambaye alipata kura 68 tu,Kwa maana hii Kijana Muhidini Bunaya Sanyaamembwaga mpinzani wake kwa tofouti ya kura 1394 !Mheshimiwa Muhidini Bunaya Sanya amefanikiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

CHAGUA MUHIDIN BUNAYA SANYA - Mgombe udiwani Kata Kimbiji,Dar-es-Salaam

WANA KIMBIJI TUMCHAGUE DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KWA MASLAHI YA WAKAZI WA KIMBIJI,Tuache ushabiki wa vyama tu we wa kweli kwa kumchagua kijana wetu huyu Muhidini Bunaya Sanya mwenye kiu ya maendeleo,aliyesimama kidete kila wakati na kuhakikisha sisi wakazi wa Kimbiji tunanufahika kwa elimu ya watoto wetu,uchimbaji wa visima,anatupigania kuhakikisha hatunyanyaswi na wavamizi wenye uchu wa kupora maeneo yetu wenyeji,Muhidini Bunaya Sanya mzawa mwenye uchungu na kimbiji pia ni jembe letu la...

 

10 years ago

GPL

DK. CHENI KUGOMBEA TENA BONGO MOVIE

Na Shani Ramadhani/Uwazi
MSANII mkongwe katika tasnia ya maigizo Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ amefunguka kuwa anasubiri kwa hamu usajili wa fomu ukamilike ili aweze kugombea tena uongozi wa Klabu ya Bongo Movie. Msanii mkongwe katika tasnia ya maigizo Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’. Akipiga stori na Uwazi, Dk. Cheni aliweka wazi kuwa ameanza kuona ndoto zake za kuiongoza klabu hiyo zitatimia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bashir kugombea tena urais Sudan

Chama tawala nchini Sudan kimemteua Rais Omar al-Bashir kuwa mgombea wake katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Aprili mwaka ujao.

 

10 years ago

Mtanzania

Ndesamburo kugombea tena Moshi Mjini

ndesaNa Rodrick Mushi, Moshi
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema), amesema ataendelea kutetea nafasi yake ya ubunge katika jimbo hilo endapo chama chake kitampitisha katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Ndesamburo alitoa kauli hiyo jana katika ufunguzi wa semina ya Baraza la Wanawake wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro (BAWACHA), ambapo alisema chama kisipompitisha yupo tayari kushirikiana na atakayechaguliwa ili jimbo hilo liendelee kubaki mikononi mwa Chadema.
Alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck kugombea tena urais

Rais wa Nigeria GoodluckJonathan amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kushughulikia suala la wanamgambo wa Boko haram ipasavyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF ADAHAMINIWA TENA KUGOMBEA URAIS

 Mwenyekiti wa CUF zoni ya Mjini Unguja Massoud Khamis, akimkabidhi fedha taslim Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad, ili aweze kuchukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar wakati utakapofika.  Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akionyesha fedha alizokabidhiwa kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea urais.  Mwenyekiti wa CUF zoni ya Mjini Unguja Massoud Khamis, akimkabidhi Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad, cheti cha heshima kutokana na uongozi...

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKATAA KUGOMBEA TENA UBUNGE

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amekataa ombi la wananchi wa  jimbo lake la uchaguzi la Katavi la kumtaka agombee tena ubunge katika jimbo hilo ili kuendeleza mipango mbalimbali ya maendeleo aliyoianzisha. Akizungumza baada ya Ibada ya Jumapili katika kigango cha Kanisa Katoliki cha Kibaoni wilayani Mlele (Jumapili, Julai 19, 2015), Waziri Mkuu Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa nafasi aliyopewa ya kulitumikia Taifa akiwa Waziri Mkuu kwa miaka minane na anaamini wakati umefika wa yeye kuwaachia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani