KATA YA KIMBIJI WAMPENDEKEZA DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KUGOMBEA TENA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-lMv9PkLk8UY/VbsGg3qMMOI/AAAAAAAHs3M/l0_2f0bsBb8/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Wakazi wa Kata ya Kimbiji,Wilaya Temeke mkoani Dar-es-Salaam wamefunguka tena kwa kumpendekeza na kumtaka Diwani wao Mheshimiwa Muhidini Bunaya Sanya kugombea tena nafasi ya udiwani wa Kata hiyo ya Kimbiji hiliyopo wilaya Temeke. Wananchi wa wamemtaja Diwani wao huyo kijana Muhidini Bunaya Sanya kuwa ni mchapa kazi,mbunifu na mpenda maendeleo mwenye uchungu na Kimbiji.
Wakazi wa Kata ya Kimbiji wanawaomba wananchi wote kusimama bega kwa bega kwa kumpa kura zote za maoni Bwana Muhidini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-WC38DyzejBk/Vbqr6YdBHbI/AAAAAAAD12Y/KqYEBEWZto8/s72-c/Muhidini%2BBunaya%2BSanya%2B%2B-aka%2BJembe%2Bla%2Bmpini%2Bwa%2Bchuma%2B%2BDiwani%2Bpendekezo%2Bla%2Bwapiga%2Bkura%2Bwa%2BKata%2Bya%2BKimbiji%252CDar-es-salaam.jpg)
WAKAZI WA KIMBIJI WAMPENDEKEZA DIWANI MUHIDINI BUNAYA SANYA KUGOMBEA TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/-WC38DyzejBk/Vbqr6YdBHbI/AAAAAAAD12Y/KqYEBEWZto8/s640/Muhidini%2BBunaya%2BSanya%2B%2B-aka%2BJembe%2Bla%2Bmpini%2Bwa%2Bchuma%2B%2BDiwani%2Bpendekezo%2Bla%2Bwapiga%2Bkura%2Bwa%2BKata%2Bya%2BKimbiji%252CDar-es-salaam.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Diwani Muhidini Bunaya Sanya aka "JEMBE LA MPINI WACHUMA' wa Kata ya Kimbiji apeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-bZNJW1evZi8/Vb4j1mxCyzI/AAAAAAAHtUU/K53pP31nYM0/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboCHAGUA MUHIDIN BUNAYA SANYA - Mgombe udiwani Kata Kimbiji,Dar-es-Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-_x3olI0Ckg4/VhkEumbxqZI/AAAAAAAEAMk/qBgBnavpins/s640/Muhidini%2BBunaya%2BSanya%2B%2B-aka%2BJembe%2Bla%2Bmpini%2Bwa%2Bchuma%2B%2BDiwani%2Bpendekezo%2Bla%2Bwapiga%2Bkura%2Bwa%2BKata%2Bya%2BKimbiji%252CDar-es-salaam%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Diwani apinga ongezeko la mitaa, kata
DIWANI wa Misufini katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, Salum Mfamaji (CHADEMA), amesema kuongezwa kwa mitaa katika manispaa hiyo ni kuibebesha mzigo serikali na wananchi. Mfamaji alisema hayo wakati...
9 years ago
Habarileo09 Dec
Kata ya Ipala Dodoma yapata Diwani
GEORGE Magawa jana alitangazwa kuwa Diwani wa Kata ya Ipala katika wilaya ya Dodoma Mjini baada ya kupita bila kupingwa kutokana na wagombea wawili wa nafasi hiyo kujitoa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AtvCqIAk4Pc/XufaY3tfSSI/AAAAAAALt8U/OAtryLERFL8r76vYfX6kU5sUSd2i_L5CACLcBGAsYHQ/s72-c/MTAMIKE.jpg)
CCM Njombe wamnasa Diwani wa kata ya MjiMwema
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Diwani Kata ya Ubungo kizimbani kwa kujeruhi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3o-LvSy0618/Xoq_M9xgiyI/AAAAAAALmJY/rOA7vtsrRBA_ESfUS2KfVvE7CaCbBL_5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC IKUNGI AONGOZA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA KITUNTU SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3o-LvSy0618/Xoq_M9xgiyI/AAAAAAALmJY/rOA7vtsrRBA_ESfUS2KfVvE7CaCbBL_5QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CK72G8iyaD0/Xon333OKRXI/AAAAAAAAki0/2sCo5_b_G2YZLV8j7vvDvjVG_9ki3iG_QCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOBLfDHdokQ/Xon335NTOoI/AAAAAAAAkiw/0KU8xjV9NaABsXPk2hHwqYTu94UGq4oAACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)