WAKENYA WANAVYOMZUNGUMZIA RAIS MAGUFULI
Na Francis GodwinUnajua nini mtu wangu una kila sababu ya kujivunia kuwa Tanzania wakati na muda kama huu kwani kasi ya Rais wetu Dk. John Pombe Joseph Magufuli inaweka headlines kubwa sana kwa nchi za jirani na si kwa Watanzania pekee!Nimetembelea mtandao wa kijamii wa Twitter na nimekutana na tweets za Wakenya juu ya Rais Dk. John Pombe Magufuli na kwenye kuzisoma tweets zao nimegundua sifa za Rais Magufuli na maamuzi yake ya kazi tu toka ameshika rungu la Tanzania zimewafikia.Wengi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Dec
Utendaji Wa Rais Magufuli wawafanya Wakenya kutamani awe Rais wao
Raia wa Kenya wamewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa Rais Dokta John Magufuli katika juhudi zake ya kupambana na Ufisadi na Ubadhilifu wa mali za umma anazoendelea kuzichukua tangu aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba tano mwaka huu.
Wakenya hao wamesema kimsingi hata wao wanatamani kuwa na Rais kama Dokta Magufuli kwa sababu ameonesha kuwa ni Mzalendo anayeipenda nchi yake na anayepigania maslahi ya wananchi masikini ambao kwa miaka kadhaa wamekosa fursa ya...
10 years ago
VijimamboRAIS WA KENYA ALIVYOKUTANA NA WAKENYA HYATT HOTEL NEW YORK CITY
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-puDN9uHYQBg/U-Lxmg3-NrI/AAAAAAAAHRE/LtcQpy-24Wg/s72-c/Screen+shot+2014-08-06+at+9.29.08+PM.png)
Hotuba ya Mhe Rais Uhuru Kenyatta kwa waKenya Washington DC. Aug 6, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-puDN9uHYQBg/U-Lxmg3-NrI/AAAAAAAAHRE/LtcQpy-24Wg/s640/Screen+shot+2014-08-06+at+9.29.08+PM.png)
10 years ago
Vijimambo24 Sep
VIJIMAMBO KURUSHA LIVE RAIS UHURU KENYATTA ATAKAPOONGEA NA WAKENYA NEW YORK ALHAMISI
![](http://blogs-images.forbes.com/mfonobongnsehe/files/2014/03/KENYATTA.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Wakenya hawajaipenda hii !! Rais Kenyatta anaendesha gari na hajafunga mkanda.. (+Video)
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa hii itakuwa ni mara ya pili kumuona Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anakaa kwenye kiti cha dereva na kujiendesha mwenyewe kwenye gari !! Hii mpya ni kipande cha interview aliyofanyiwa Rais Kenyatta na mtangazaji wa Citizen TV, Jacque Maribe… ni kipande cha sekunde 15 za promo ya interview hiyo lakini inaonekana Wakenya wengi […]
The post Wakenya hawajaipenda hii !! Rais Kenyatta anaendesha gari na hajafunga mkanda.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo26 Jul
10 years ago
Vijimambo26 Sep
AGALIA LIVE RAIS UHURU KENYATTA ANAONGEA NA WAKENYA KUTOKA NEW YORK NCHINI MAREKANI
Broadcast live streaming video on Ustream
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa rais mstaafu