Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakili wa Pistiorius asema kesi imevurugwa

Mawakili wanaomtetea Oscar Pistorius wanasema kuwa viongozi wa mashitaka wamevuruga kesi kwa minajili ya kumfanya kuwa na makosa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakili asema Pistorius 'amefilisika'

Mahakama inayosikiliza kesi ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius imeambiwa kuwa mwanariadha huyo hana pesa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya wakili Yasinta yapigwa kalenda

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeiahirisha kesi inayomkabili Wakili wa Serikali,Yasinta Rwechungura (44), Mkazi wa Boko Njiapanda, jijini Dar es Salaam hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika....

 

10 years ago

Mtanzania

Wakili wa Mbasha augua, kesi yaahirishwa

Emmanuel Mbasha

Emmanuel Mbasha

Veronica Romwald na Zainabu Abdillah (MUM), Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jana imeahirisha kesi ya ubakaji inayomkabili mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha hadi Septemba 19, mwaka huu kutokana na wakili anayemtetea, Mathew Kakamba, kuugua shinikizo la damu.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwendesha Mashitaka wa Polisi na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, alidai Mahakama ilifikia uamuzi huo baada ya Kakamba kuieleza Mahakama kuwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Jaji amwonya wakili kesi ya Mwalle

NA JANETH MUSHI, ARUSHA

JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, amemwonya na kumtaka Wakili wa Jamhuri, Pius Hilla, amuulize shahidi wake kuhusu kesi iliyopo mahakamani na si kuuliza juu ya mafunzo.

Jaji Mjemas alitoa kauli hiyo jana mjini hapa wakati akisikiliza ushahidi wa shahidi wa pili wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga, katika kesi inayoendelea kusikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania,...

 

11 years ago

Habarileo

Wakili: Kesi ya Mwale ilifunguliwa kimakosa

UPANDE wa utetezi kwenye kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu ya kutakatisha fedha haramu, umedai mashitaka hayo dhidi ya washitakiwa, yalifunguliwa kimakosa kabla ya sheria iliyowashitaki kutungwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakili kesi ya Mbasha augua, yapigwa tarehe

Kesi ya ubakaji inayomkabili mwimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha (32) imeahirishwa hadi Septemba 19, kutokana na wakili wa mshtakiwa kuugua.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya wakili anayedaiwa kumpiga 'hausigeli' yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeahirisha tena kesi inayomkabili Wakili wa Serikali, Yasinta Rwechungura (44), hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika.

 

9 years ago

Mtanzania

Kesi ya Wakili Mwale yahamia Mahakama Kuu

NA JANETH MUSHI, ARUSHA

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, inatarajia kuanza kusikiliza kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu.

Hatua hiyo ilikuja jana baada ya upande wa Jamhuri unaowakilishwa na Wakili Oswald Tibabyakomya, kudai kuwa umekamilisha upelelezi wa kesi hiyo.

Watuhumiwa wengine katika shauri hilo ni Don Bosco Gichana, Boniface Mwimbwa na Elias Ndejembi.

Mbele ya Hakimu Mfawidhi Mkazi wa Mahakama ya Hakimu...

 

9 years ago

Mtanzania

Jamhuri yakata rufaa kesi ya Wakili Mwalle

MahakamaaaNA JANETH MUSHI, ARUSHA

MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, wamewasilisha kusudio la kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania dhidi ya uamuzi wa Jaji Gadi Mjemas wa kukataa kuvipokea baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani.

Vielelezo hivyo viliwasilishwa mahakamni hapo na shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga wiki iliyopita.

Uamuzi huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Jaji Mjemas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani