Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakimbizi 12,000 waingia Ujerumani

Utawala mjini Munich kusini mwa Ujerumani unasema kuwa huenda ukakumbwa na changamoto za kuwachukua wakimbizi na wahamiaji zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi 4000 waingia nchini Hungary

Idadi kubwa zaidi ya wakimbizi wanaripotiwa kuingia nchini Hungary siku ya Jumamosi

 

10 years ago

Habarileo

Wakimbizi 800 kutoka Burundi waingia nchini

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.WAKIMBIZI 800 kutoka nchini Burundi wameingia nchini kupitia mkoani Kigoma huku wengine 87 wakirejeshwa nchini mwao baada ya kuingia nchini kwa kupitia wilayani Ngara mkoani Kagera.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi kuhudumia wakimbizi Ujerumani

Wizara ya ulinzi nchini ujerumani inasema kuwa wanajeshi 4000 watahudumia wakimbizi 4000 wanaotarajiwa kuwasili nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kupokea wakimbizi milioni 1.5

Wasiwasi unaoongezeka kuhusu uwezo wa Ujerumani kukabiliana na hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya kugawana wakimbizi 120,000

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wameahidi kutumia mfumo mpya ya kugawana wakimbizi baina ya nchi za muungano wa ulaya.

 

10 years ago

Michuzi

Elimu ya kidigitali ya Vodafone Foundation kuwanufaisha watoto 15,000 katika kambi za wakimbizi

Taasisi ya Vodafone Foundation leo imetangaza kuwa mpango wake wa kutoa elimu kidigitali umewezesha jamii zinazoishi kwenye mazingira magumu yanayosababishwa na majanga mbalimbali na  kujikuta zikiishi kwenye kambi za wakimbizi kuweza  kupata elimu.
Mpango huu wa   unatekelezwa katika  maeneo yenye mazingira magumu ambako kuna matatizo ya kutokuwepo nishati ya umeme na  upatikanaji wa mawasiliano hususani ya mtandao wa interneti na umeweza kutekelezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Jeshi la watu 10,000 laipokea Ujerumani ‘kibingwa’ leo

Zaidi ya watu 10,000 wamejitokeza katika uwanja wa ndege wa Berlin Tegel kuipokea timu yao ya taifa leo, kufuatia kutwaa kwake ubingwa wa Dunia kwa mara ya 4 mnamo Jumapili.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000

Tiketi ya pambano la Ujerumani na Ufaransa yafika dola 1,000 katika soko la ulanguzi wa tiketi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani