WAKIWEZESHWA WANAWEZA.!
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFE0YcJDO-g/UwhUUjzc2bI/AAAAAAAFOr0/5UWyC30rIas/s72-c/1932308_658178394227746_1400261035_n.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Watanzania wakiwezeshwa sekta ya gesi wanaweza
Katika harakati za mapinduzi ya kiuchumi nchini Tanzania, makosa kadhaa yalionekana wazi kufanywa na viongozi wetu kwa mitazamo walioijua wenyewe. Lakini kwa lugha nyingine unaweza kusema ni bahati mbaya, kutokujua au kwa makusudi.
11 years ago
Michuzi06 Jul
Wakiwezeshwa wanawake wanaweza: Msikilize Sauda Mwilima wa Radio Free Africa, Kiss FM na Star TV akitangaza soka
Ni kijana mdogo lakini maarufu sana katika Star TV, hususan katika kipindi chake cha "Bongo Beat". Pia husikika katika Radio Free Africa na Kiss FM. Akifuata nyayo za dada yake Saida Mwilima aliyekuwa mtangazaji wa TBC kabla ya kuhamia Uingereza, Sauda hivi sasa anasikika pia akitangaza mpira (Bofya mshale mwekundu umsikie). Hongera sana mdogo wetu kwa juhudi zako na kazi nzuri. Hakika unaweza kabisa kuziba pengo aliloacha marehemu Halima Mchuka, mwanamke wa kwanza kutangaza soka nchini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xxs7QLOXy2M/XmB7PmuvbbI/AAAAAAALhFk/M4HeSUYO6WQd86lHL85GIYDcvumLRAODgCLcBGAsYHQ/s72-c/14501c8f-7265-47ad-85d8-23b6035d2d91.jpg)
WANAWAKE WAKIWEZESHWA KIUCHUMI UKATILI WA KIJINSIA UTAKWISHA
Na mwandishi wetu, Arusha
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani humo kuendelea kutenga asilimia 10 ya fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na kuwaepusha na ukatili wa kijinsia.
Ametoa agizo hilo jana tarehe 04/02/2020 wakati akizindua Msafara wa Kitaifa wa kijinsia wa kutokomeza ukatili katika eneo la Ngaramtoni Mkoani Arusha.
"Tumeona njia moja ya kumsaidia mwananchi ni...
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani humo kuendelea kutenga asilimia 10 ya fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na kuwaepusha na ukatili wa kijinsia.
Ametoa agizo hilo jana tarehe 04/02/2020 wakati akizindua Msafara wa Kitaifa wa kijinsia wa kutokomeza ukatili katika eneo la Ngaramtoni Mkoani Arusha.
"Tumeona njia moja ya kumsaidia mwananchi ni...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Siku ya Wanawake Duniani: Jinsi wanawake wa vijijini wanavyoweza kubadilisha jamii kiuchumi wakiwezeshwa
Maisha yangu yalikuwa magumu. Sikuwa na pesa ya chakula kwa ajili yangu na watoto wangu, sikuwa na pesa hata ya kununua nguo, nilikuwa natembea pekupeku bila viatu.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Je Ndovu wanaweza kutambua sauti za binadamu?
Utafiti umebaini kuwa tembo wanaweza kutofautisha lugha zinazozungumzwa na binadamu na vile vile kati ya sauti ya mwanamke na mwanaume
11 years ago
Mwananchi04 Jul
MAFUTA NA GESI: 'Watanzania wanaweza kuwekeza'
>Mtaalamu wa masuala ya fedha wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Mshindo Ibrahim amesema Watanzania wana uwezo wa kuwekeza katika ya gesi na mafuta ila ni jukumu la Serikali kuwapatia fursa.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Twiga Stars imeonyesha wanawake Tanzania wanaweza
Aprili 10, Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake (Twiga Stars) itaikabili Zambia kwenye mchezo wa marudiano wa kusaka tiketi ya kushiriki Michezo ya Afrika iliyopangwa kufanyika Kongo-Brazaville Septemba.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Wanaume nao wanaweza kunyonyesha watoto wao
Unaingia katika nyumba ya rafiki yako Jumanne Mwesiga na macho yako yanakutana ana kwa ana na Mwesiga akimnyonyesha mtoto wake mchanga mwenye umri wa miezi miwili.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Nchimbi , Nahodha Bado Wanaweza kuwania urais
Baadhi ya wasomi nchini wamesema kwamba licha ya hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri wanne, kugusa mustakabali wa kuwania urais wa miongoni mwa wanasiasa hao katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wanaweza kuwania nafasi hiyo kwa kuwa waliwajibika kisiasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania