Nchimbi , Nahodha Bado Wanaweza kuwania urais
Baadhi ya wasomi nchini wamesema kwamba licha ya hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri wanne, kugusa mustakabali wa kuwania urais wa miongoni mwa wanasiasa hao katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wanaweza kuwania nafasi hiyo kwa kuwa waliwajibika kisiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s72-c/ccm.jpeg)
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s400/ccm.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Lowassa: Nimeshawishika kuwania urais
Hatimaye mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema “ameshawishika†na kuweka bayana kuwa atachukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Al-Sisi kuwania Urais Misri
Viongozi wa kijeshi nchini Misri wamekubaliana Mkuu wa jeshi ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Abdel Fattah Al Sisi kuwania Urais katika Uchaguzi ujao
10 years ago
Michuzi06 Jun
MWIGULU ACHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/cCi5nIYWMijEORdiXR8CmRFiaflq7WX-jPThm1nsc6xF1G_xoG5xwqkNRoQs39JSpiOKmT5_ILTOLb6STse1ax10EaiXVHyYNjJoffXfrFp_NU1EJ8UY0X_wOmSd3tk6sOc8YfMxU_63BDJOBTkH8A4nc1AmxMxjDL6cJ8P-2B34AmlJ2IeNgOcGmBNfC41oib5QYRqTu4l4JMNOIKSMxBRpOooHHvYHPUh07LclQ7R5X59U=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11401205_926219247440147_5650376604804357062_n.jpg?oh=fe73c38f5cf77f9cfa8b3dcd4b1c8d41&oe=55F9F5AE)
Mh.Mwigulu akiwasili makao makuu ya CHAMA CHA MAPINDUZI mjini Dodoma kwaajili ya Kuchukua Fomu ya Kuwania Urais wa Tanzania mwaka 2015.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aDZvTliUgOlIYtPR5H1GS4QZnpRQ1oLtaIVfyq-ttyMhCYgZK5eJ6FdrRk34ZsHGt5h9Rf91yzGobri_pGe3XjhhQW40SbOfZW_oMAClAbOOFEhY5edSG1KfWHP1oUF2jyMHppbaiZvKQl0DcZEIBfu2k4ejmQ4hga2W-fZwhPzpDFh2xZqcaWRvUiWQJgey51YIo_Q8pYAg6hWa50IcXx9JFxSUV_ckovwDmn2WmHrf9sG1=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11412392_926219480773457_7369949939952748801_n.jpg?oh=0ab5c1fe2ec3ec69affdea08a214c050&oe=55FB9114)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/cgbq4PifzuayfVHKUyJS-5nTK3xcaqu4MKpJlGZe6w1SYruMKSUt1zoPKQ0ySaIdzAsibVsaojcS4642BupDhOuO-ClXd8qJEG_JgWrz06g6jWxG9dMxmTVJCbq34iz-GY7F4jdXDl_1tfbBvgJRO0QXI3sIayqVIjfW1LzYleNuNYN8uGr_zbcZUdHDu5N-nG6-huVF-SlTfrIOFt7ir1Hbdd3FrR6M4JoZLE6XIQ2tQMse=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11391338_926219294106809_7877542968087699757_n.jpg?oh=72f0617c1ba260d04a68c01148874763&oe=55F35359)
Mh:Mwigulu akisaini kitabu cha Wagombea Urais kupitia chama cha Mapinduzi. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Hatimaye Dk Migiro ajitosa kuwania urais
Hatimaye Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea urais baada ya kutajwa kwa muda mrefu kuwa na mipango ya kuomba kuingia Ikulu.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
Pilika pilika za uchaguzi nchini Tanzania zimeendelea huku Edward Lowassa, ambaye ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Chadema na kuungwa mkono na umoja wa vyama vya upinzani nchini humo, UKAWA, akifika ofisi ya Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu ya ur
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Magufuli ajaza fomu za kuwania urais
Mgombea wa Urais kupitia Chama tawala CCM John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kiti hicho, akiambatana na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania