Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima 9,000 wanufaika na elimu ya kilimo

WAKULIMA zaidi ya 9,000 kutoka wilaya mbalimbali mkoani Arusha, wamenufaika na elimu ya kuboresha kilimo na kuongezea thamani mazao yao na hatimaye kuwezesha kulima kilimo chenye tija na kuweza kupata masoko ndani na nje ya nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo

RAIS Jakaya Kikwete. RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.

 

11 years ago

Mwananchi

Babati wanufaika kilimo cha ufuta

Wakulima 397 wa vijiji vya Kakoi na Endadosh katika Wilaya ya Babati mkoani Manyara wamenufaika na kilimo cha ufuta baada ya kupatiwa mafunzo ya kilimo bora kwa kutumia kifaa maalumu cha kielektroniki.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya

WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wa kanda ya ziwa wanufaika na mbegu ya marando

Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Ukiligulu imesema majani ya viazi vitamu maarufu kama marando yanaweza kuwainua kiuchumi wakulima wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kama watayazalisha kwa wingi kwa njia ya kisasa kwa ajili ya mbegu.

 

11 years ago

Habarileo

Wajawazito 100,000 wanufaika na mradi wa NHIF

MRADI wa huduma za afya kwa akinamama wajawazito wasio na uwezo na watoto, unaotekelezwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Benki ya Maendeleo ya Watu wa Ujerumani (KfW), umevuka lengo kwa asilimia 155 kwa kuwanufaisha wajawazito 109,184 hadi sasa.

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE HANANG' WANUFAIKA NA MRADI WA KILIMO KUTOKA SHIRIKA LA OXFAM & UCRT



Felista Giyam mhasibu wa kikundi cha hamasa ameiomba serikali kuona uwezekano wa kutafuta masoko kwa mazao ya wakulima kwani wamekuwa wakilima kwa muda mrefu lakini wanakosa masoko hivyo kuwakatisha tamaa licha ya kukiri kuwa wamekuwa na faida kwa wastani japo soko linaendelea kuwa kikwazo licha ya kwamba pia wakulima wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika pembejeo za kilimo

Anna Iselu mbaye ni mhasibu wa kikundi cha wanawake na vijana cha Gosanga anasema mradi huo utawafanya kutokuonekana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wengi wanufaika na semina ya kilimo na ufugaji wa kisasa iliyoendeshwa na mjasiriamali Bi. Mary David jijini Dar

 Mjasiriamali na Muandaaji wa wa Semina ya Kilimo na Ufugaji wa Kisasa Bi. Mary David Kinong’o akitoa Maelezo juu ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa ambapo aliwasisitiza Vijana na watu wote kujiunga na ujasiliamali na kuunda vikundi mbalimbali ili kujiendeleza kiuchumi. IMG_0018 Mmoja wa wajasiriamali ambaye pia ni Mkulima na Mfugaji akichangia uzoefu wake wa jinsi alivyo nufaika na mafunzo kama haya na mpaka sasa anajitegemea na Kupata kipatochake na kuwasaidia wengine. Wa kwanza Kulia ni Stella...

 

10 years ago

Michuzi

WENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA MJASIRIAMALI BI. MARY DAVID JIJINI DAR

Kilimo na Ufugaji wa Kisasa kwa maendeleo ya Jamii na kukataa umasikini kwa kujiajili ndiyo kauli kuu iliyotawala katika Semina ya Kilimo na Ufugaji wa kisasa iliyofanyika Jijini Dar es salaam ambapo washiriki walipata mafunzo na Elimu Bora juu ya Kilimo bora cha kisasa pamoja na ufugaji Semina iliyo ongozwa na Mjasiriamali mwanamke ambaye amethubutu Bi. Mary David Kinong'o.
Katika Semina hiyo kulikuwa na mafunzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kilimo cha kisasa cha kutumia Green houses ambapo...

 

5 years ago

Michuzi

WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waajiri na Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri, Mkoani Iringa.

Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani