Wakulima 9,000 wanufaika na elimu ya kilimo
WAKULIMA zaidi ya 9,000 kutoka wilaya mbalimbali mkoani Arusha, wamenufaika na elimu ya kuboresha kilimo na kuongezea thamani mazao yao na hatimaye kuwezesha kulima kilimo chenye tija na kuweza kupata masoko ndani na nje ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jan
Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo
RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Babati wanufaika kilimo cha ufuta
10 years ago
Habarileo19 Oct
Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya
WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Wakulima wa kanda ya ziwa wanufaika na mbegu ya marando
11 years ago
Habarileo01 May
Wajawazito 100,000 wanufaika na mradi wa NHIF
MRADI wa huduma za afya kwa akinamama wajawazito wasio na uwezo na watoto, unaotekelezwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Benki ya Maendeleo ya Watu wa Ujerumani (KfW), umevuka lengo kwa asilimia 155 kwa kuwanufaisha wajawazito 109,184 hadi sasa.
5 years ago
MichuziWANAWAKE HANANG' WANUFAIKA NA MRADI WA KILIMO KUTOKA SHIRIKA LA OXFAM & UCRT
Felista Giyam mhasibu wa kikundi cha hamasa ameiomba serikali kuona uwezekano wa kutafuta masoko kwa mazao ya wakulima kwani wamekuwa wakilima kwa muda mrefu lakini wanakosa masoko hivyo kuwakatisha tamaa licha ya kukiri kuwa wamekuwa na faida kwa wastani japo soko linaendelea kuwa kikwazo licha ya kwamba pia wakulima wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika pembejeo za kilimo
Anna Iselu mbaye ni mhasibu wa kikundi cha wanawake na vijana cha Gosanga anasema mradi huo utawafanya kutokuonekana...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wengi wanufaika na semina ya kilimo na ufugaji wa kisasa iliyoendeshwa na mjasiriamali Bi. Mary David jijini Dar
![IMG_0018](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0018.jpg)
10 years ago
MichuziWENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA MJASIRIAMALI BI. MARY DAVID JIJINI DAR
Katika Semina hiyo kulikuwa na mafunzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kilimo cha kisasa cha kutumia Green houses ambapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-2048x2023.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-2048x2023.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waajiri na Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri, Mkoani Iringa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pic-2.jpg)
Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,...