Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wa kanda ya ziwa wanufaika na mbegu ya marando

Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Ukiligulu imesema majani ya viazi vitamu maarufu kama marando yanaweza kuwainua kiuchumi wakulima wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kama watayazalisha kwa wingi kwa njia ya kisasa kwa ajili ya mbegu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wakulima 9,000 wanufaika na elimu ya kilimo

WAKULIMA zaidi ya 9,000 kutoka wilaya mbalimbali mkoani Arusha, wamenufaika na elimu ya kuboresha kilimo na kuongezea thamani mazao yao na hatimaye kuwezesha kulima kilimo chenye tija na kuweza kupata masoko ndani na nje ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya

WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wa pamba Mara wagomea mbegu za manyoya

WAKULIMA wa pamba wa Mara wameiomba Bodi ya Pamba kuwasambazia mbegu zisizo na manyoya kwa sababu ndizo zinazoota kwa urahisi na kwa wakati muafaka katika maeneo yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta

Chama cha Kuuza na Kununua Mazao cha Umoja, kilichopo wilayani Liwale, Mkoa wa Lindi kimeanza kutekeleza mradi wa kugawa mbegu za alizeti na ufuta kwa wakulima zaidi ya 700 zenye thamani ya Sh6 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbegu feki za mahindi zawaliza wakulima Hai

WAKATI msimu wa mwaka huu wa kilimo mkoani Kilimanjaro ukionekana kuwa na neema ya mvua za kutosha, Wilaya ya Hai imekuwa tofauti kutokana na baadhi ya wakulima kuuziwa mbegu feki...

 

9 years ago

StarTV

Mbegu Za Gmo  Wakulima wakataa wadai hazina faida kwao

Mtandao wa Vikundi vya wakulima nchini MVIWATA umeitaka serikali kupitia upya sheria ya matumizi ya mbegu za Genetically Modified Organisms GMO kwani hazina faida yoyote kwa mkulima mdogo zaidi ya kuwanufaisha wamiliki wa makampuni yatakayopewa zabuni ya kusambaza mbegu hizo kwa wakulima.

Katika mjadala wa sera ya kilimo na mbegu mkoani Morogoro, MVIWATA wamesema hawajashirikishwa katika mpango huo wa matumizi ya mbegu ambazo vinasaba vyake vimefanyiwa mabidiliko ya Kijenetiki hivyo serikali...

 

9 years ago

Michuzi

WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI

Baadhi ya wakuliwa wa mkoani Shinyanga, wakiwa na maofisa wa Agrics wakati wa mafunzo na uingiaji mkataba wa makubaliano yliofanyika Kijiji cha Ishololo, Wilaya ya Shinyanga Vijijini. Warsha hiyo iliongozwa na Lazaro Japhet (aliyesimama wa tatu kushoto mstari wa mbele. Zaidi ya wakulima 12,000 wanataraji kufaidika na mbegu za mahindi na alizeti kutoka Kampuni ya Agrics. Mahindi yaliyooteshwa kisayansi na kampuni ya Agrics kwa lengo la kuthibitisha ubora wa mbegu zinazotolewa kwa wakulima wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbili kutoka Kanda ya Ziwa

Wakati mzunguko wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza msimu huu ukiwa umemalizika, Ukanda wa Ziwa una matumaini makubwa ya kupata timu mbili zitakazopanda daraja Ligi Kuu.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!

Dk. John Pombe Magufuli ambaye ni mgombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Richard Bukos, aliyekuwa Geita Dk. John Pombe Magufuli ambaye ni mgombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekuwa gumzo kubwa katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Kanda ya Ziwa. Dk. Magufuli ambaye amekuwa ‘homa kali’ kwa vyama vya upinzani,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani