Mbegu Za Gmo  Wakulima wakataa wadai hazina faida kwao
Mtandao wa Vikundi vya wakulima nchini MVIWATA umeitaka serikali kupitia upya sheria ya matumizi ya mbegu za Genetically Modified Organisms GMO kwani hazina faida yoyote kwa mkulima mdogo zaidi ya kuwanufaisha wamiliki wa makampuni yatakayopewa zabuni ya kusambaza mbegu hizo kwa wakulima.
Katika mjadala wa sera ya kilimo na mbegu mkoani Morogoro, MVIWATA wamesema hawajashirikishwa katika mpango huo wa matumizi ya mbegu ambazo vinasaba vyake vimefanyiwa mabidiliko ya Kijenetiki hivyo serikali...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Mbegu feki za mahindi zawaliza wakulima Hai
WAKATI msimu wa mwaka huu wa kilimo mkoani Kilimanjaro ukionekana kuwa na neema ya mvua za kutosha, Wilaya ya Hai imekuwa tofauti kutokana na baadhi ya wakulima kuuziwa mbegu feki...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wakulima wa pamba Mara wagomea mbegu za manyoya
WAKULIMA wa pamba wa Mara wameiomba Bodi ya Pamba kuwasambazia mbegu zisizo na manyoya kwa sababu ndizo zinazoota kwa urahisi na kwa wakati muafaka katika maeneo yao.
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Wakulima wa kanda ya ziwa wanufaika na mbegu ya marando
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)
9 years ago
MichuziAGRICS YAKABIDHI MBEGU ZA MAHINDI NA ALIZETI KWA WAKULIMA MKOANI SHINYANGA NA SIMIYU
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Katibu tawala Singida ataka mikakati kuwekwa kuongeza wakulima wanaotumia mbegu bora
Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye ufunguzi wa semina juu ya kuongeza upatikanaji wa mbegu bora na mbolea kwa wakulima wadogo wadogo kwa kuimarisha masoko ya pembejeo katika mikoa ya Singida na Dodoma.
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, amewahimiza wadau mbalimbali wanaojishughulisha na sekta ya kilimo,kuweka mikakati ya kuhakikisha zaidi ya aslimia 85 ya wakulima wawe wanatumia mbegu bora,ili kuleta mapinduzi ya kweli ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OUExx4Ph6UY/XoLVh4XLdEI/AAAAAAALlpI/pxxdb9USpd4Txw3_uQj5zDpP0mLyMwBbwCLcBGAsYHQ/s72-c/km-ASAAAA-768x512.jpg)
KUSAYA AAGIZA WAKALA WA MBEGU ZA KILIMO ASA KUSOGEZA HUDUMA KATIKA MAENEO YA WAKULIMA NCHINI
Na Bashiri Salum,Morogoro.
Wakala wa Mbegu za Kilimo ASA wametakiwa kuanzisha maduka ya mbegu katika maeneo walipo wakulima ili kuwapunguzia gharama ya kuzifuta Morogoro mjini.
Akizungumza na watumishi leo alipotembelea taasisi hiyo Katibu Mkuu Kilimo Bw. Gerald Kusaya amesema ASA ni Taasisi pekee ya mbegu nchini hivyo inatakiwa kuwafika wakulima wote nchini.
Huduma ya mbegu bora inatakiwa na kilia mkulima hivyo ni lazima ASA wafikirie namna ya kushusha huduma zao chini kwa wakulima...
5 years ago
MichuziTunapaswa kujivunia kwa kuongeza eneo la uzalishaji wa mbegu, miche bora pamoja usajili wa Wakulima na watoa huduma za kilimo – Waziri Hasunga
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10