AGRICS YAKABIDHI MBEGU ZA MAHINDI NA ALIZETI KWA WAKULIMA MKOANI SHINYANGA NA SIMIYU
Wakulima wakifurahia mbegu bora za mahindi, alizeti pamoja na mbolea mara baada ya kukabidhiwa na meneja miradi wa kampuni ya Agrics. Wakulima walionufaika na mbegu hizo ni pamoja na Maswa, Meatu na Shinyanga vijijini.
Afisa Miradi wa kampuni ya Agrics Ltd, Bwana Semeni Kime (wa pili kulia) akifurahi na wakulima wa kijiji cha Mwakabeya baada ya kuwakabidhi wakulima hao mbegu za mahindi, alizeti pamoja na mbolea kwa ajili ya msimu mpya kilimo.Kampuni ya Agrics imetimiza ahadi ya kuwakabidhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Mbegu feki za mahindi zawaliza wakulima Hai
WAKATI msimu wa mwaka huu wa kilimo mkoani Kilimanjaro ukionekana kuwa na neema ya mvua za kutosha, Wilaya ya Hai imekuwa tofauti kutokana na baadhi ya wakulima kuuziwa mbegu feki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI1510.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MBEGU ZA MAHINDI KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO LINDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1510.jpg)
10 years ago
Habarileo25 May
Mbegu mpya ya mahindi yatambulishwa
MBEGU mpya ya mahindi, Chapa Tembo 719, yenye uwezo wa kuzalisha gunia 45 za nafaka hiyo, imetambulishwa kwa wakulima wa kongani ya Ihemi ya Ukanda wa Kuendeleza Kilimo Kusini Mwa Tanzania (SAGGOT) kwa ajili ya msimu wa kilimo wa 2015/2016 na kuendelea.
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Nsimbo yapiga marufuku usambazaji mbegu za mahindi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Nsimbo, Wilaya ya Mlele, Katavi, limepiga marufuku ugawaji wa mbegu zinazotolewa kwa vocha za ruzuku aina ya PANA 4 M 19 katika halmashauri hiyo...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tanzania sasa yagundua mbegu mpya ya mahindi
10 years ago
StarTV02 Dec
Wakulima Zanzibar furahia kilimo cha Alizeti.
Na Abdalla Pandu, Zanzibar.
Wakulima visiwani Zanzibar wameonesha furaha yao baada ya kufanikiwa katika kilimo kipya cha Alizeti ambacho kinaaminika kitakuwa mkombozi kwao na Taifa kwa ujumla kutokana na muda mrefu kutegemea zaidi zao la Karafuu na Nazi kama mazao makuu ya biashara.
Zao la Alizeti kwa Zanzibar limeonekana likinawiri kwa kiwango kikubwa hatua inayowajengea matumaini ya kuinua kipato cha wakulima hali ambayo itawawezesha kukabiliana na umasikini.
Licha ya faraja...
10 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI 165 KWA AJILI YA MASHINE YA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI, CHATO MKOANI GEITA