Tanzania sasa yagundua mbegu mpya ya mahindi
Wataalamu wa kilimo nchini wamegundua aina tatu mpya za mbegu za mahindi ambazo zina uwezo wa kuvumilia ukame.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 May
Mbegu mpya ya mahindi yatambulishwa
MBEGU mpya ya mahindi, Chapa Tembo 719, yenye uwezo wa kuzalisha gunia 45 za nafaka hiyo, imetambulishwa kwa wakulima wa kongani ya Ihemi ya Ukanda wa Kuendeleza Kilimo Kusini Mwa Tanzania (SAGGOT) kwa ajili ya msimu wa kilimo wa 2015/2016 na kuendelea.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2351-2048x1365.jpg)
TARI UKIRIGURU YAGUNDUA AINA 10 ZA MBEGU BORA ZA PAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2351-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akipata maelezo ya aina za mbegu bora ya pamba zilizogunduliwa na Kituo cha TARI Ukiriguru mkoa wa Mwanza leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2325.jpg)
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Bw.Gerald Kusaya (katikati) akiongea na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo MATI Ukiriguru alipofanya ziara ya kukagua utendaji kazi wa chuo hicho leo wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2327.jpg)
Watumishi wa chuo cha Kilimo MATI Ukiriguru wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu ( hayupo pichani)...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Nsimbo yapiga marufuku usambazaji mbegu za mahindi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Nsimbo, Wilaya ya Mlele, Katavi, limepiga marufuku ugawaji wa mbegu zinazotolewa kwa vocha za ruzuku aina ya PANA 4 M 19 katika halmashauri hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Mbegu feki za mahindi zawaliza wakulima Hai
WAKATI msimu wa mwaka huu wa kilimo mkoani Kilimanjaro ukionekana kuwa na neema ya mvua za kutosha, Wilaya ya Hai imekuwa tofauti kutokana na baadhi ya wakulima kuuziwa mbegu feki...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI1510.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MBEGU ZA MAHINDI KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO LINDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-IjsBCkzkGyA/XoyAFO5tWFI/AAAAAAALmXQ/rt8n2n1tCHQcFP4MH--b1M7G--b9d7cJgCLcBGAsYHQ/s640/OTMI1510.jpg)
9 years ago
MichuziAGRICS YAKABIDHI MBEGU ZA MAHINDI NA ALIZETI KWA WAKULIMA MKOANI SHINYANGA NA SIMIYU
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...