Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima walalamika kukandamizwa

Wakulima wa pamba kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa, wamesema hatua ya Serikali kuongeza kiwango kidogo cha bei ya pamba, msimu wa 2014/15 ni kuzidi kuwakandamiza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba wazidi kukandamizwa

Wakulima wa pamba Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wameilalamikia Bodi ya Pamba kushindwa kuwasimamia na kuwatetea kwa kile walichodai kupandishwa bei ya mbegu ya zao hilo kutoka Sh 300 hadi 500.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Rahaleo walalamika

 WALIMU wa shule ya msingi ya Viziwi Rahaleo, iliyopo Manispaa ya Mtwara/Mikindani, wanalalamikia mazingira magumu ya kazi kutokana na kutumia chumba kimoja cha darasa kama ofisi na wanafunzi tangu kuanzishwa kwake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wayahudi wa Ethiopia walalamika

Mamilioni ya Wayahudi duniani kote wameadhimisha, Moja ya tamasha muhimu katika dini yao. Lakini kwa maelfu ya Wayahudi wa Ethiopia Mafalasha, hawana la kusherehekea.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanga walalamika maisha magumu

Wazazi na walezi mjini Tanga wamelalamikia hali ngumu ya maisha pamoja na kupanda kwa gharama za vifaa vya wanafunzi shuleni na hivyo, kuitaka Serikali kuwapunguzia kodi wafanyabiashara ili kuweza kumudu gharama za maisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Igunga walalamika kukatiwa umeme

WAFANYABIASHARA wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wamesema kukatika kwa umeme mara kwa mara kunasababisha kushindwa kuendesha biashara zao kwa ufanisi. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu jana,...

 

10 years ago

Habarileo

Walalamika mikataba kupelekwa kwa AG

Luteni Mstaafu Chiku GallawaUTARARIBU wa kupeleka mikataba yote ya miradi ya barabara yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), umelalamikiwa kutokana na kukwamisha miradi ya barabara katika halmashauri za Manispaa za Mkoa wa Dodoma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walalamika kubaguliwa Bunge la Katiba

WADAU wa afya wameeleza kusikitishwa kwa kutotambuliwa kwa haki ya afya kama haki ya msingi ya kila mwananchi kwenye rasimu ya katiba mpya. Tamko hilo lilitolewa na Sikika, Chama cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walalamika kulazimishwa kulazwa Amana

Licha ya Serikali kutangaza kuwa matibabu ya homa ya dengue ni bure, inadaiwa kuwa baadhi ya watoa huduma katika Hospitali ya Amana wamekuwa wakiwatoza wagonjwa Sh30,000 huku wengine wakitakiwa kulazwa kabla ya kupimwa na baadhi wakiambiwa vifaa vimekwisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito walalamika kuombwa ‘kitu kidogo’

BAADHI ya kina mama hasa wajawazito wa vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya Simambwe kwa kuwaomba ‘kitu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani