Wakulima waomba dawa ya kuua wadudu wanaoshambulia Pamba.
Na Salma Mrisho
Geita
Wakulima wa zao la Pamba mkoani Geita wameiomba Serikali kutatua tatizo la upatikanaji wa dawa ya kuua wadudu shambani kwa wakati kwani mazao yao yameanza kushambuliwa na wadudu na wana hofu ya kuharibikiwa zao hilo la pamba ambalo wamedai kuwa limestawi vizuri kwa msimu huu.
Waliongeza kuwa ni vyema pia ukaangaliwa utaratibu mpya wa ugawaji wa mbegu uende sambamba na ugawaji wa madawa ili kuondoa kero kama zinazowakumba kwa sasa.
Kilimo cha zao la Pamba ambacho...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA KUUA WADUDU, KIBAHA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0PoutQqKklw/VU26Knl0LkI/AAAAAAAHWW8/WXgcpKOUpwU/s640/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UECi7I9347I/VU26LBUaejI/AAAAAAAHWXA/uDjN2AdFuhs/s640/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vC9Ij9NqCRU/VU26LAq7R7I/AAAAAAAHWXE/4XHeHrIJ_VU/s640/unnamed%2B(38).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda...
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Uganda: Watoto wafariki baada kula vitafunwa vilivyopikwa kwa dawa ya kuua wadudu
5 years ago
MichuziTUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Pamba iwakomboe wakulima
PAMBA ni miongoni mwa mazao ya biashara nchini ambayo yamekuwa chimbuko la maendeleo yetu hata tukawa na viwanda. Pamoja na pamba yapo mazao ya korosho, kahawa,mkonge,alizeti na ufuta ambapo mengine...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Wakulima wa pamba wazidi kukandamizwa
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Wakulima wa pamba walilia pembejeo
11 years ago
Mwananchi13 Feb
‘Watakaowakopesha wakulima kuuziwa pamba’
10 years ago
Vijimambo03 Jul
WAZIRI MKUU ETHIOPIA, RAIS KIKWETE WAZINDUWA KIWANDA CHA DAWA ZA WADUDU
![Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0383.jpg)
![Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegm wakiwa wamesimama kuimba nyimbo za taifa la Tanzania na Ethiopia katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0389.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Wanunuzi wa pamba, wakulima kuingia mkataba