Wakulima watekeleza Azimio la Siasa ni kilimo kwa vitendo
Mwaka 1972, Mwalimu Julius Nyerere akiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alitangaza Azimio la Iringa lililokuwa na kauli mbiu ya ‘Siasa ni Kilimo.’
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Mansoor kukuza kilimo kwa vitendo KwimbaÂ
UCHUMI wa Kwimba, mkoani Mwanza unategemea kilimo cha pamba, mahindi, mpunga na ufugaji. Wilaya hii inayokabiliwa na changamoto kubwa katika suala la maendeleo ya kiuchumi, ilianzishwa enzi za utawala wa...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Mkuu wa Wilaya Chamwino ahimiza kilimo kwa vitendo
5 years ago
MichuziCHUO CHA KILIMO MATI ILONGA MKOANI MOROGORO CHAPANUA WIGO WA UTOAJI MAFUNZO KWA VITENDO
Shamba la migomba la chuo hicho.
Mratibu wa Masomo na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Felix Mrisho (kulia), akizungumzia teknolojia ya kilimo kwa kutumia kitalu nyumba wanayoiendesha kwa kushirikiana na Shirika la Sustainable Agriculture Tanzania (SAT).
Mkuu wa Idara ya Usindikaji chuoni hapo, Moses Chavala, akielezea namna wanavyotoa mafunzo ya usindikaji.
Wakufunzi wa chuo hicho, Antoneta Sunguya na Mariam Marianda wakionesha sufuria inayotumika kuchemshia nyanya kabla ya usindikaji.
Jengo la...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PIb0toGRQ1s/VnFNuLGDCsI/AAAAAAAIMwc/ZNomiwaLOjQ/s72-c/Al6cYflZYJ9obx_dogOCWAEpoATQQB29df51vPPVFSSq.jpg)
WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4 KWA WAKULIMA WA KOROSHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-PIb0toGRQ1s/VnFNuLGDCsI/AAAAAAAIMwc/ZNomiwaLOjQ/s640/Al6cYflZYJ9obx_dogOCWAEpoATQQB29df51vPPVFSSq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MdXoMz1omWI/VnFNtwcE71I/AAAAAAAIMwY/MpW5-jCk5lQ/s640/Au1lNmCmGdhwxdLsESaIUqeluo1yl7SkocpwTgKJGMf9%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE ITAKUZA KILIMO CHA MATUNDA NA MBOGA KWA WAKULIMA
11 years ago
Habarileo29 Jan
Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo
RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.
11 years ago
Mwananchi27 May
Tanzania yakwama azimio la kilimo Afrika
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wakulima wadogo wakumbusha Azimio la Malabo
JUKWAA la wakulima wadogo kutoka nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (ESAFF) wamezitaka serikali za nchi zao kuhakikisha wanaheshimu azimio la Malabo kuhusu Kilimo na upatikanaji wa uhakika wa chakula.
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.
Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...