Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima watekeleza Azimio la Siasa ni kilimo kwa vitendo

Mwaka 1972, Mwalimu Julius Nyerere akiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alitangaza Azimio la Iringa lililokuwa na kauli mbiu ya ‘Siasa ni Kilimo.’

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mansoor kukuza kilimo kwa vitendo Kwimba 

UCHUMI wa Kwimba, mkoani Mwanza unategemea kilimo cha pamba, mahindi, mpunga na ufugaji. Wilaya hii inayokabiliwa na changamoto kubwa katika suala la maendeleo ya kiuchumi, ilianzishwa enzi za utawala wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkuu wa Wilaya Chamwino ahimiza kilimo kwa vitendo

>Wilaya ya  Chamwino mkoani Dodoma ni miongoni kwa maeneo ambayo yamekuwa yakikumbwa na uhaba wa chakula na kusababisha wananchi wake kukumbwa na njaa ya mara kwa mara.

 

5 years ago

Michuzi

CHUO CHA KILIMO MATI ILONGA MKOANI MOROGORO CHAPANUA WIGO WA UTOAJI MAFUNZO KWA VITENDO


Shamba la migomba la chuo hicho.


Mratibu wa Masomo na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Felix Mrisho (kulia), akizungumzia teknolojia ya kilimo kwa kutumia kitalu nyumba wanayoiendesha kwa kushirikiana na Shirika la Sustainable Agriculture Tanzania (SAT).
Mkuu wa Idara ya Usindikaji chuoni hapo, Moses Chavala, akielezea namna wanavyotoa mafunzo ya usindikaji.




Wakufunzi wa chuo hicho, Antoneta Sunguya na Mariam Marianda wakionesha sufuria inayotumika kuchemshia nyanya kabla ya usindikaji.


Jengo la...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4 KWA WAKULIMA WA KOROSHO

 Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba atoa saa 48 kwa kampuni ya Sparkway ltd kuwalipa wakulima wa korosho wa Mkoa wa pwani, kiasi cha Bilioni 3.4 za mauzo ya korosho kufuatia agizo hilo,Wakulima waliouza Korosho  wataanza kulipwa jumatatu ya Desemba 21, mwaka huu.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba wakati akizungumza mkoani Pwani leo.

 

10 years ago

Michuzi

TEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE ITAKUZA KILIMO CHA MATUNDA NA MBOGA KWA WAKULIMA

Mtaalamu wa Mradi wa Kilimo chenye tija Tanzania (TAPP ), Mussa Madurufu ( anayenyosha mikono) akitoa elimu ya namna ya kuendesha wa kilimo cha bustani ya nyanya kwa njia ya teknolojia mpya ya umwagiliaji kwa njjia ya matone wakati wa maadhimisho ya siku ya wakulima Julai 20, 2015 katika bustani ya vipando vya mboga na matunda ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), maonesho yaliyodhaminiwa na Asasi kilele ya sekta binafsi yenye lango kuu la kuhamasisha maendeleo ya kilimo cha mazao ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo

RAIS Jakaya Kikwete. RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yakwama azimio la kilimo Afrika

Tanzania imeshindwa kutekeleza azimio la nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), lililoagiza nchi hizo kutenga angalau asilimia 10 ya bajeti kwa ajili ya sekta ya kilimo.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wadogo wakumbusha Azimio la Malabo

JUKWAA la wakulima wadogo kutoka nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (ESAFF) wamezitaka serikali za nchi zao kuhakikisha wanaheshimu azimio la Malabo kuhusu Kilimo na upatikanaji wa uhakika wa chakula.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula

kone pics

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.

Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani