Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mansoor kukuza kilimo kwa vitendo Kwimba 

UCHUMI wa Kwimba, mkoani Mwanza unategemea kilimo cha pamba, mahindi, mpunga na ufugaji. Wilaya hii inayokabiliwa na changamoto kubwa katika suala la maendeleo ya kiuchumi, ilianzishwa enzi za utawala wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkuu wa Wilaya Chamwino ahimiza kilimo kwa vitendo

>Wilaya ya  Chamwino mkoani Dodoma ni miongoni kwa maeneo ambayo yamekuwa yakikumbwa na uhaba wa chakula na kusababisha wananchi wake kukumbwa na njaa ya mara kwa mara.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima watekeleza Azimio la Siasa ni kilimo kwa vitendo

Mwaka 1972, Mwalimu Julius Nyerere akiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alitangaza Azimio la Iringa lililokuwa na kauli mbiu ya ‘Siasa ni Kilimo.’

 

5 years ago

Michuzi

CHUO CHA KILIMO MATI ILONGA MKOANI MOROGORO CHAPANUA WIGO WA UTOAJI MAFUNZO KWA VITENDO


Shamba la migomba la chuo hicho.


Mratibu wa Masomo na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Felix Mrisho (kulia), akizungumzia teknolojia ya kilimo kwa kutumia kitalu nyumba wanayoiendesha kwa kushirikiana na Shirika la Sustainable Agriculture Tanzania (SAT).
Mkuu wa Idara ya Usindikaji chuoni hapo, Moses Chavala, akielezea namna wanavyotoa mafunzo ya usindikaji.




Wakufunzi wa chuo hicho, Antoneta Sunguya na Mariam Marianda wakionesha sufuria inayotumika kuchemshia nyanya kabla ya usindikaji.


Jengo la...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA NA POLAND KUKUZA KILIMO

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira
Na Eleuteri Mangi MAELEZO 29/09/2015Serikali ya Tanzania na Poland zimeingia makubaliano ya ushirikiano yatakayosaidia kukuza sekta ya kilimo kwa kuwawezesha wakulima kupata zana bora za kilimo kupitia  Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland itakayoanza kufanya kazi zake nchini Tanzania mwanzoni mwa mwaka 2016.
Akizungumza mara baada ya kufanyika kwa mkutano wa makubaliano hayo kati ya Serikali ya Tanzania na  ujumbe...

 

11 years ago

Habarileo

Ataka waandishi kukuza kilimo

WAANDISHI wa habari wameaswa kuandika habari sahihi za kilimo, ambazo zitaongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao shambani na kuinua uchumi wa familia na taifa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania na Poland kukuza sekta ya kilimo nchini

01

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiongea na ujumbe wa wataalam wa kilimo kutoka nchini Poland ulioongozwa na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini wa Poland Bi. Zofia Szalczyk hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa mkutano uliohusu makubaliano yanalenga kuinua sekta ya kilimo na kurahisisha upatikanaji wa matrekta hapa nchini. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila.

02

Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi wa kiwanda kukuza kilimo cha Mkonge Tanga

KATIKA kuhakikisha mkonge unamnufaisha mkulima, serikali  imeanza mikakati ya kuendeleza zao hilo. Miongoni mwa mikakati hiyo ni kuongeza uzalishaji wa bidhaa bora zitokanazo na zao hilo  kutoka asilimia 2 za...

 

11 years ago

Michuzi

WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza wakati akifungua warsha kwa wataalamu wa kilimo katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete hii leo.  Mwezeshaji kutoka shirika ka TAHA Bw. Isaac Ndamanhyilu akizungumza kwenye warsha hiyo.  Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wataalamu wa kilimo wa kata na vijiji vya wilaya ya Makete.  Wataalamu wakifuatilia mafunzo hayo.   Mwezeshaji Manfred Bitala akiwawezesha washiriki wa warsha hiyo. Na Edwin...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani