Ataka waandishi kukuza kilimo
WAANDISHI wa habari wameaswa kuandika habari sahihi za kilimo, ambazo zitaongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao shambani na kuinua uchumi wa familia na taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-035ebxJUj3E/VgqIUuoRvoI/AAAAAAAH7vg/ZdMftU6FbWU/s72-c/download.jpg)
TANZANIA NA POLAND KUKUZA KILIMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-035ebxJUj3E/VgqIUuoRvoI/AAAAAAAH7vg/ZdMftU6FbWU/s640/download.jpg)
Na Eleuteri Mangi MAELEZO 29/09/2015Serikali ya Tanzania na Poland zimeingia makubaliano ya ushirikiano yatakayosaidia kukuza sekta ya kilimo kwa kuwawezesha wakulima kupata zana bora za kilimo kupitia Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland itakayoanza kufanya kazi zake nchini Tanzania mwanzoni mwa mwaka 2016.
Akizungumza mara baada ya kufanyika kwa mkutano wa makubaliano hayo kati ya Serikali ya Tanzania na ujumbe...
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Tanzania na Poland kukuza sekta ya kilimo nchini
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiongea na ujumbe wa wataalam wa kilimo kutoka nchini Poland ulioongozwa na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini wa Poland Bi. Zofia Szalczyk hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa mkutano uliohusu makubaliano yanalenga kuinua sekta ya kilimo na kurahisisha upatikanaji wa matrekta hapa nchini. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila.
Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Mansoor kukuza kilimo kwa vitendo KwimbaÂ
UCHUMI wa Kwimba, mkoani Mwanza unategemea kilimo cha pamba, mahindi, mpunga na ufugaji. Wilaya hii inayokabiliwa na changamoto kubwa katika suala la maendeleo ya kiuchumi, ilianzishwa enzi za utawala wa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Ujenzi wa kiwanda kukuza kilimo cha Mkonge Tanga
KATIKA kuhakikisha mkonge unamnufaisha mkulima, serikali imeanza mikakati ya kuendeleza zao hilo. Miongoni mwa mikakati hiyo ni kuongeza uzalishaji wa bidhaa bora zitokanazo na zao hilo kutoka asilimia 2 za...
11 years ago
Habarileo24 Jan
Dk Kamani ataka majibu kukuza kipato
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema sura ya wizara hiyo katika jamii si nzuri kwa kuwa haijatoa jawabu ya changamoto zinazowakabili wadau wakiwemo wafugaji na wavuvi na kukuza pato la Taifa kama inavyostahili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tTckxNqIHPc/XmuB066dEPI/AAAAAAALi6g/YxuK8K21S6Qc9XYx2_IoO0r-dQvKRiBlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
WAZILI RUKUVI ATAKA WANANCHI WAMILIKISHWE ARDHI KUKUZA KIPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-tTckxNqIHPc/XmuB066dEPI/AAAAAAALi6g/YxuK8K21S6Qc9XYx2_IoO0r-dQvKRiBlgCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wakurugenzi wa Almashauri zote za Wilaya pamoja na Manispaa Mkoani Shinyanga kuharakisha upimaji ardhi na utoaji hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi ikiwemo mipango miji ili kuongeza mapato ya Serikali na kuepukana na ujenzi holela mkoani humo.
Waziri Lukuvi amesema hayo Mkoani Shinyanga alipofika Mkoani humo kwa lengo la kujionea ofisi mpya zitakazotumiwa na Msajili wa Ardhi pamoja na Kamishina wa Ardhi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KuwJ_EYZcLQ/VUzFGd0NX2I/AAAAAAAHWSw/dMenfx_noGY/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
KONGAMANO LA WAANDISHI ZA KILIMO LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Mwenyekiti wa Mtandao wa vikundi vya wakulima nchini (Mviwata), Veronica Sophu aliyasema hayo jana mjini Morogoro kwenye kongamano la waandishi wa habari wanaoandika habari za wakulima.
Sophu ambaye alikuwa mjumbe wa Bunge maalum la Katiba (BMK) kupitia kundi la wakulima alisema wakulima nchini wanatakiwa wasikilizwe kwani wana changamoto nyingi...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
DC ataka waandishi kuitangaza Tanga
10 years ago
Habarileo18 Sep
Bilal ataka waandishi kuwa makini
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka vyombo vya habari kujiuliza mambo wanayoweza kuyaweka hadharani kwa kuyaandika au kuyatangaza na yanayofaa kuhifadhiwa kwa sasa nchi inapoelekea katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu.