Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ataka waandishi kuitangaza Tanga

>Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa amewataka waandishi wa habari mkoani Tanga kuutangaza mkoa wao kiutalii,  pamoja na vivutio vyake na kuacha kuandika habari ambazo hazina faida kwa jamii na Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ataka waandishi kukuza kilimo

WAANDISHI wa habari wameaswa kuandika habari sahihi za kilimo, ambazo zitaongeza kiwango cha uzalishaji wa mazao shambani na kuinua uchumi wa familia na taifa.

 

11 years ago

Habarileo

Bilal ataka waandishi kuwa makini

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka vyombo vya habari kujiuliza mambo wanayoweza kuyaweka hadharani kwa kuyaandika au kuyatangaza na yanayofaa kuhifadhiwa kwa sasa nchi inapoelekea katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Nundu ataka Tanga kufufua viwanda

Mbunge wa Tanga mjini, Omar Nundu amesema iko haja kwa serikali mkoani Tanga kuangalia uwezekano wa kufufua viwanda ili kuongeza ajira.

 

11 years ago

GPL

MISS TANGA ATAKA KUZICHAPA KISA ALI KIBA

Stori: Jamila Said
MISS Tanga 2011, Zubeida Seif ametaka kuzichapa kavukavu na mwenzake aliyefahamika kwa jina moja la Kelly kisa kikiwa ni mkali wa wimbo wa Mwana, Ali Saleh Kiba. Miss Tanga 2011, Zubeida Seif. Tukio hilo lililoacha watu midomo wazi lilitokea juzikati katika baa moja iliyopo maeneo ya Mwenge, Dar ambapo ubishi ulianza baada ya Zubeydah  kutetea kuwa Ali Kiba anajua kuimba kuliko Nasibu Abdul...

 

10 years ago

Mwananchi

JK azindua kituo cha Azam TV, ataka kuboreshwa kwa maslahi ya waandishi wa habari

Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuwajengea uwezo waandishi wa habari kwa kuwapatia mafunzo kila mara, pamoja na kuboresha maslahi yao kwani wakishindwa kuwalipa vizuri, waandishi hao watalipwa na watu wa mitaani jambo ambalo linaweza kupunguza weledi.

 

11 years ago

Habarileo

Juhudi zaidi zatakiwa kuitangaza Serengeti

JITIHADA za ziada zinahitajika kuitangaza Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yenye maajabu saba ya asili duniani tofauti na sasa .

 

11 years ago

Michuzi

PINDA AZINDUA JARIDA LA FIRST LA KUITANGAZA TANZANIA UGHAIBUNI

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Mwenyekitna Muasisi wa Kampuni ya Invest Africa ya Uingereza, Bw. Robert Hersov kabla ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya Savoy,London Oktoba 20, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Jarida la  First baada ya kukabidhiwa nakala  ya toleo la  jaridai hilo na Muasisi wake, Rupert Goodman  (kulia) kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London , Oktoba 21, 2014. Jarida  hilo limesheheni  makala zenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Tutumie hii sanaa kuitangaza nchi yetu

“Naweza kusema sanaa inachukua muda mwingi wa maisha yangu. Kwani katika kila dakika ninayoishi, nimekuwa nikiitumia kufikiri ni kitu gani kipya cha ubunifu naweza kufanya kujiingizia kipato,” anaanza kusema mbunifu wa mitindo na msanii wa mkongwe nchini Fatma Amour.

 

11 years ago

Michuzi

Gazeti la Financia Report la nchini Uingereza kuitangaza Zanzibar Kimataifa

Mhariri muandamizi wa Gazeti la Financia Report lenye Makao Makuu yake London Nchini Uingereza Bwana Rohit Devan akimuarifu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi azma ya Gazeti hilo ya kutaka kuitangaza Zanzibar Kimataifa katika Nyanja ya Utamaduni, Uwezekaji na Utalii. Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo ya Televisheni cha Afrika { Africa TV } Bwana Muharami Iddiss akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Cheti maalum cha Africa TV cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani