Wakuu wa idara Chemba ‘kupanguliwa’
RAIS Jakaya Kikwete, amesema analifanyia kazi suala la kuwa na wakuu wa idara wengi wanaume katika Wilaya Mpya ya Chemba.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s72-c/MMG_2917.jpg)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s640/MMG_2917.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PeMavfyeBsY/Vm6aRt_5nmI/AAAAAAAIMRY/8aipDHh_aiI/s640/MMG_2894.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Wakuu wa Idara wasikimbie wananchi
WAKUU wa Idara katika Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, wametakiwa kuachana na utaratibu wa kutuma wawakilishi kwenye mikutano ya wananchi kwani kufanya hivyo ni kuibua hofu ya maendeleo...
9 years ago
Habarileo04 Sep
Wakuu idara za ujenzi watakiwa kusajiliwa
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ameziagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha kwamba wakuu wote wa Idara za Ujenzi wamesajiliwa kama wahandisi wataalamu ifikapo Juni 30, mwakani.
10 years ago
StarTV09 Jan
Wakuu wa idara saba Mkinga wasimamishwa kazi.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Said Magalula amewasimamisha kazi wakuu wa idara saba wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kwa kosa la kuishi Tanga mjini badala ya kuishi maeneo yao ya kazi.
Waliosimamishwa kazi ni maafisa wa ardhi, kilimo, TEHAMA, manunuzi na uchaguzi pamoja na mkaguzi wa ndani.
dosagem para viagraSambamba na kuwasimamisha kazi wakuu hao wa idara, Magalula amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Amina Kiwanuka kuwachukulia hatua za kinidhamu...
11 years ago
CloudsFM06 Aug
WAKUU WA IDARA LUDEWA WANUSURIKA KUCHARAZWA BAKORA MKUTANONI
BAADA ya wagonjwa zanahati ya Mlangali kulala chini kwa ukosefu wa vitanda mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewatimua katika mkutano wa hadhara wakuu wa idara sita akiwemo kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ludewa Horace Kolimba kutokana uzembe wa kushindwa kupeleka vitanda katika Zahanati hiyo kwa mwaka mmoja sasa mbali ya vitanda hivyo kuvinunua kwa pesa zake.
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Amos Makalla apiga marufuku likizo za Ma DC, Wakurugenzi na Wakuu wa Idara mkoani Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
KATIKA hali inayoonyesha ni joto kali la kuwatumikia Watanzania, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla, amepiga marufuku likizo za Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na Wakuu wa Idara kwenye mkoa wake ili kutekeleza kwa vitendo hotuba na maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli.
RC Makalla aliyasema hayo jana katika kikao cha kazi na wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa idara wa halmashauri na Kamati ya Ulinzi...
10 years ago
MichuziWAKUU WA IDARA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPA ZAWADI KATIBU MKUU WAO
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-EpRtAyObzKo/UuNs--7ZDFI/AAAAAAAAE_8/EUONrsqMub8/s1600/IMG_9935.jpg)
INJINIA MANYANYA: SITASITA KUWAONDOA WATUMISHI, WAKUU WA IDARA WANAOWACHONGANISHA MADIWANI NA MKURUGENZI WAO
11 years ago
MichuziDk. Rehema Nchimbi afungua mkutano wa Wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimaliwatu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa,Dodoma