Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIMU KUANZISHA BENKI YA BIASHARA MWAKA HUU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Walimu  Yahya Mgulwa (kushoto) akizungumza katika kikao hicho. Wanahabari wakichukua matukio katika kikao hicho. Rais wa Chama Cha Walimu Tanzania, Gratian Mukoba (katikati) akitoa tamko la mchakato wa ufunguzi wa benki hiyo.  Pembeni ni viongozi wa CWT.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Walimu 35,000 kuajiriwa mwaka huu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari, ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

 

11 years ago

Michuzi

Mataifa 31kushiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya SABASABA MWAKA HUU

Zikiwa imebakia siku chache kuanza Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (maarufu kama Saba Saba), tayari Mataifa 31 na makampuni zaidi ya 500 yamethibitisha kushiriki katika maonesho hayo. Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Jacqueline Mneney Maleko ametanabaisha hayo katika hafla ya kusaini Mkataba wa Udhamini wa Mawasiliano na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom ambao utawezesha kufanikisha maandalizi na Mawasiliano katika kipindi chote cha Maonesho hayo.  “Maonesho haya yamekuwa kiungo...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AAHIDI SERIKALI KUAJIRI WALIMU 13,526 KIPINDI CHA MWAKA HUU WA FEDHA

Rais Dk. John Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), uliofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, leo.

Dodoma, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amesema kati ya Watumishi 524,295 wa umma Watumishi 266,905 ni Walimu ambao ni sawa na asilimia 51 na kwamba pamoja na kuwaajiri walimu 22,342 katika kipindi hiki cha miaka mitano walimu wengine 13,526 wataajiriwa katika mwaka huu wa fedha.

Rais Dk. Magufuli amesema hayo leo...

 

9 years ago

Michuzi

EFM NA BENKI YA DTB KUFANYA USAFI DESEMA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Efm Radio, Denis Ssebo akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya wasanii zaidi ya 50 wa Bongo Movie akiwamo Steve Nyerere, Wema Sepetu na Vicent Kigosi (Rey) wataungana na kituo cha redio cha EFM na Benki ya DTB kufanya usafi Desema 9 mwaka huu. Usafi huo utaanzia katika barabara ya Morocco hadi Magomeni, mkutano huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mkuu wa Bidhaa na Masoko wa benki ya Diamond Trust Bank (DTB), Sylvester...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAIBUKA KIDEDEA MAONYESHO YA NANE NANE MWAKA HUU

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa NMB Bi Ineke Bussemaker kikombe cha mshindi wa pili kundi la taasisi za kibenki zilizoshiriki maonesho ya Nane nane Kitaifa 2015 katika viwanja vya Ngongo Lindi.

 Wafanyakazi wetu wakifurahia ushindi baada  ya kuibuka kidedea  katika kundi la taasisi za kibenki zilizoshiriki maonesho ya Nanenane Morogoro

 Wafanyakazi wa NMB  wakifurahia ushindi baada  ya kuibuka kidedea  katika kundi la taasisi za...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu

Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu

SERIKALI imeamua kuanzisha bodi ya kitaalamu ya walimu Tanzania katika mwaka ujao wa fedha, itakayosimamia masuala ya walimu, ikiwemo usajili, uendelezaji wa walimu na maadili ya kazi ya ualimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kuanzisha biashara ya vipodozi

Moja ya biashara zinazovutia watu wengi ni biashara ya vipodozi. Hata hivyo wafanyabiashara wa vipodozi wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali. Baadhi ya changamoto hizi ni baadhi ya wafanyabiashara kutofahamu taratibu za kufanya biashara hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji

Wengi huamini kuwa lazima uwe na fedha ndiyo uanzishe biashara na ndiyo sababu yao kuu ya kukaa bila kujishughulisha. Ukweli ni kwamba mtaji ni moja ya kitu muhimu katika kuanzisha biashara, lakini kuna aina ya biashara ambazo zinahitaji gharama ndogo kuanzisha na kukupelekea kupata faida kubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani