WALIOCHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR TAYARI WAFIKIA 12
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAKADA 12 wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wameshajitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika 25,2020.
Hadi leo mchana huu wa Juni 19 mwaka 2020, aliochukua fomu ya kuwania nafasi hiyo ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk.Hussein Mwinyi, Balozi Alli Karume, Mbwana Yahya Mwinyi anayetoka Umoja wa Vijana wa CCM, Omar Sheha Mussa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jun
5 years ago
MichuziMAKADA WA CCM WALIOCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO
5 years ago
MichuziWANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
MichuziDK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
9 years ago
Habarileo22 Aug
Waliochukua fomu za urais warudisha Nec
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vinane vya siasa nchini, wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, huku wagombea watatu wakipoteza sifa.
5 years ago
CCM BlogDK HUSSEIN MWINYI ARUDISHA FOMU YA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Waziri wa Ulinzi na Kujenga Taifa Dk Hussein Mwinyi akiongea na wanahabari baada ya kurejesha fomu ya...
5 years ago
CCM BlogPROF. MAKAME MBARAWA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR