Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopigwa ‘stop’ TRA wafikia 36

WATUMISHI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), waliosimamishwa kazi kutokana na upotevu wa mapato makubwa ya umma, wameongezeka kutoka tisa wiki iliyopita na kufikia 36.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mabondia wa Tanzania waliopigwa KO za hatari

Mchezo wa ngumi una vituko vingi hasa bondia anapopigwa kutokana na kuzidiwa uwezo, ndiyo sababu Mike ‘Iron’ Tyson wa Marekani alijikuta akitumia meno kujinusuru kwa Evander Holyfield wa Marekani pia mwaka 1997.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tajiri apigwa ‘stop’ kuendelea na ujenzi Mwanza

HATIMAYE imebainika kuwa mmiliki wa majengo matatu ya gorofa yanayojengwa Nyasaka katika Halmasha

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Bongo5

Video: Olamide ‘Eyan MayWeather’ na ‘Don’t Stop’

olamide

Msanii kutoka Nigeria ambaye pia ni rapper Olamide ameachia video mbili za wimbo “Don’t Stop” na “Eyan Mayweather” zinatoka kwenye album yake mpya ya Eyan Mayweather.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Joslin ft Stopa Rhymes — Tesa Naye

Msanii Joslin akishirikisha na Stopa Rhymes ameachia video mpya wa wimbo wake ‘Tesa Naye’ iliyoongozwa na Numark Production.

 

11 years ago

GPL

Yanga yatangaza waliopigwa chini, kisa Marcio Maximo

Kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo. John Joseph na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa ujio wa kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo, umezuia ajira ya makocha 45 walioomba nafasi hiyo kwenye Klabu ya Yanga, lakini pia tayari ameshakabidhiwa majukumu ya kufanya usajili. Maximo raia wa Brazil, yupo katika hatua za mwisho za kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani kabla ya kutua jijini Dar es Salaam kuusaini mkataba...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AKUTANA NA VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WALIOPIGWA MABOMU JANA

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM Taifa Mh Mboni Mhita Ambaye Pia ni Katibu Mkuu wa Pan African Union Ulio Chini ya Umoja wa Afrika AU Anayehusika Kushugulikia Ajira kwa Vijana, Fursa ,Elimu Afya na Mambo yanayuwahusu Vijana Akiwasikiliza Kwa Makini Viongozi wa Mtandao wa wafanyabiashara Ndogondogo Kutoka Mkoani Dar Es salaam Aliokutana nao Leo Kusikiliza Changamoto zinazowakabili Vijana hasa Wafanyabiashara Ndogondogo Maarufu Kama wamachinga walioipigwa Mabomu ya Mcahozi jana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wafikia 6.3%

OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili umeongezeka kwa kiwango cha asilimia 6.3. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22

Idadi ya raia wa Tanzania waliofariki katika mkanyagano wakiwa katika ibada ya Hajj nchini Saudi Arabia mwezi uliopita imeongezeka na kufikia 22

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wafikia 6%

OFISI ya Takwimu imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 5.6 hadi asilimia 6.0 kwa kipindi kilichoishia Desemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani