Tajiri apigwa ‘stop’ kuendelea na ujenzi Mwanza
HATIMAYE imebainika kuwa mmiliki wa majengo matatu ya gorofa yanayojengwa Nyasaka katika Halmasha
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
TAJIRI J4 MWANZA ABANWA
Na Waandishi Wetu, Mwanza
IKIWA ni takriban zaidi ya wiki moja imepita baada ya Mkurugenzi wa Mabasi ya J4 Express, Juma Mahende ‘J4†kudaiwa kuua kwa kuwapiga risasi wafanyabiashara wenzake wawili, kigogo huyo amebanwa na polisi kuhusiana na mauaji hayo. . ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LzCfXx
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Tajiri aidharau serikali Mwanza
KATIKA kitendo kinachoonyesha kuidharau serikali, mkazi wa Mtaa wa Nyasaka, Wilaya ya Ilemela mko
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLTAJIRI AWAPIGA RISASI WAWILI NA KUWAUA JIJINI MWANZA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi, Charles Mkumbo. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya J4 Express Juma Mahende mkazi wa Nyakato jijini Mwanza kwa tuhuma za kuwaua wakazi wawili wa jijini humo kwa kutumia bastola usiku wa kuamkia jana katika eneo la Nyakato Sokoni. Marehemu hao wawili wametambuliwa kuwa ni Ally Mohamed Abeid mkazi wa Igoma na Claude Sikalwanda...
10 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri wakubwa na maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana. Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na maskini akiwepo na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...
9 years ago
Michuzi
TANROADS kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kamanga

Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari ofisi kwake kutolea ufafanuzi suala la Barabara ya Kamanga Ferry mpaka Sengerema ambayo haipo katika hali nzuri na kusema mkandarasi yupo na...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa Mbeya kuendelea tena
Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa la jijini hapa ambao ulisimama kwa karibu mwaka mzima unatarajiwa kuendelea tena mapema mwezi ujao kama jiji litafanikiwa kupata mkopo mwingine kutoka Benki ya CRDB.
5 years ago
Michuzi
JAFO -HAJARIDHISHWA NA KASI YA TBA KUENDELEA na UJENZI WA HALMASHAURI YA CHALINZE
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
WAZIRI wa TAMISEMI ,alhaj Selemani Jafo ,hajaridhishwa na ujenzi wa halmashauri ya Chalinze ambao unasuasua tangu mwaka 2018 na kuagiza mkandarasi ambae ni Wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuondolewa baada ya mei 31 mwaka huu.
Amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo na timu yake wahakikishe awamu ya kwanza ya ujenzi inapokwisha mwezi huu watafute mjenzi mwingine wa majengo hayo .
Jafo alitoa kauli hiyo ,wakati alipokwenda kukagua na kujionea kasi ya ujenzi wa majengo...
WAZIRI wa TAMISEMI ,alhaj Selemani Jafo ,hajaridhishwa na ujenzi wa halmashauri ya Chalinze ambao unasuasua tangu mwaka 2018 na kuagiza mkandarasi ambae ni Wakala wa majengo Tanzania (TBA) kuondolewa baada ya mei 31 mwaka huu.
Amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo na timu yake wahakikishe awamu ya kwanza ya ujenzi inapokwisha mwezi huu watafute mjenzi mwingine wa majengo hayo .
Jafo alitoa kauli hiyo ,wakati alipokwenda kukagua na kujionea kasi ya ujenzi wa majengo...
9 years ago
Habarileo05 Dec
Waliopigwa ‘stop’ TRA wafikia 36
WATUMISHI wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), waliosimamishwa kazi kutokana na upotevu wa mapato makubwa ya umma, wameongezeka kutoka tisa wiki iliyopita na kufikia 36.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania