Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAJIRI AWAPIGA RISASI WAWILI NA KUWAUA JIJINI MWANZA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi, Charles Mkumbo. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya J4 Express Juma Mahende mkazi wa Nyakato jijini Mwanza kwa tuhuma za kuwaua wakazi wawili wa jijini humo kwa kutumia bastola usiku wa kuamkia jana katika eneo la Nyakato Sokoni. Marehemu hao wawili wametambuliwa kuwa ni Ally Mohamed Abeid mkazi wa Igoma na Claude Sikalwanda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Risasi zarindima jijini Mwanza

>Jiji la Mwanza jana ‘lilisimama’ kwa takriban dakika 10 wakati risasi na mabomu viliporindima kutokana na mapambano kati ya wafanyabiashara ndogondogo na polisi katika mitaa ya Lumumba, Rwagasore, Makoroboi na Barabara ya Nyerere.

 

10 years ago

GPL

TAJIRI J4 MWANZA ABANWA

Na Waandishi Wetu, Mwanza IKIWA ni takriban zaidi ya wiki moja imepita baada ya Mkurugenzi wa Mabasi ya J4 Express, Juma Mahende ‘J4” kudaiwa kuua kwa kuwapiga risasi wafanyabiashara wenzake wawili, kigogo huyo amebanwa na polisi kuhusiana na mauaji hayo. . ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LzCfXx

 

9 years ago

Raia Mwema

Tajiri aidharau serikali Mwanza

KATIKA kitendo kinachoonyesha kuidharau serikali, mkazi wa Mtaa wa Nyasaka, Wilaya ya Ilemela mko

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Tajiri apigwa ‘stop’ kuendelea na ujenzi Mwanza

HATIMAYE imebainika kuwa mmiliki wa majengo matatu ya gorofa yanayojengwa Nyasaka katika Halmasha

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

Wawili wafa kwa risasi

Kamanda wa Polisi Kagera, Henry MwaibambeWATU wawili kati ya sita wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu mbalimbali wamekufa kutokana na majeraha ya risasi wakati wakijaribu kutoroka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa kwa kupigwa risasi

WATU wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi baada ya kuvamia Tarafa ya Ingwe, Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi wawili wauawa kwa risasi

WAVUVI wawili wilayani Mlele, Katavi wameuawa  kwa kupigwa  risasi   na askari wa Game Reserve walipokuwa wakivua samaki  ndani ya  Hifadhi  ya Pori la Akiba la Ugala na mwenzao mmoja kujeruhiwa ...

 

10 years ago

GPL

WANACHAMA WAWILI WA CUF WAPIGWA RISASI ZANZIBAR

Muonekano wa wanachama hao wa CUF waliopigwa risasi. Wanachama wawili wa CUF wamepigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao mchana wa leo wakati wa kuandikisha kupiga kura Makunduchi, Zanzibar, wamelazwa Hospitali ya Arahma. (CHANZO: ITV NA JAMII…

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi

Polisi wawili mkoani Geita, G 6512 PC Hamis Zunzu na E1465 Koplo Said Mohamed wamejeruhiwa kwa kupigwa risasi na watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi raia wa Burundi na Mtanzania mmoja, huku jambazi mmoja akiuawa na wananchi baada ya kujeruhiwa na risasi mguu na kushindwa kukimbia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani