Walioteketeza familia mbaroni
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu sita, wanaotuhumiwa kuwaua kwa kuwacharanga mapanga watu watano wa familia moja hivi karibuni katika kijiji na kata ya Bugarama, wilayani Maswa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Oct
Sita wa familia moja mbaroni kwa ugaidi
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watu saba, wakiwemo sita wa familia moja kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ugaidi. Kukamatwa kwa watuhumiwa hao ni muendelezo wa operesheni inayoendeshwa na Polisi Kanda hiyo pamoja na mikoa jirani ya kuwatafuta watuhumiwa wote waliojihusisha na matukio ya kupanga kuvamia vituo vya polisi, kuua askari na raia na kupora silaha.
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Walioteketeza kanisa Israeli wakamatwa
11 years ago
Michuzi
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

10 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...