Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliowajeruhi polisi TZ wasakwa

Polisi nchini Tanzania wamesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Waliofanya mauaji ya Polisi wasakwa.

Na  Glory Matola na Epiphania Magingo,

Dar es Salaam.

Machi 31, 2015

 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Polisi mkoani Pwani limeanza oparesheni kali ya kuwasaka watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliowavamia na kuwaua askari wawili na kumjeruhi mmoja na kisha kupora bunduki aina ya SMG katika eneo la kizuizi cha Polisi mkoani Pwani.

 

Tukio hilo limetokea Machi 30 mwaka huu majira ya saa mbili usiku katika barabara ya Kilwa Kata ya Vikindu wilayani...

 

10 years ago

Habarileo

Walioua polisi wasakwa usiku na mchana

JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washirika wa shambulizi Ufaransa wasakwa

Polisi nchini Ufaransa wamesema kuwa wanawasaka washirika wa mhusika wa shambulizi la kigaidi Amedy Coulibady.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliohusika na mapinduzi Gambia wasakwa

Watu kadhaa wamekamatwa na kuzuiliwa, kufuatia jaribio la mapinduzi ya hapo Jumanne dhidi ya kiongozi wa nchi hiyo, Yahya Jammeh.

 

9 years ago

Mwananchi

Walanguzi madini ya Tanzanite wasakwa

Wizara ya Nishati na Madini imeanza operesheni ya kuwakamata watu wanaofanya biashara ya madini ya Tanzanite kinyume cha sheria.

 

10 years ago

GPL

WALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!

Stori: Waandishi Wetu
Kimenuka! Baada ya kuwepo kwa utata mkubwa juu ya kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya Bongo, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’, inadaiwa kwamba waliohusika na kifo chake sasa wanasakwa kila kona. Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ enzi za uhai wake. Habari kutoka ndani ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Dar, zilidai kwamba jeshi hilo ndilo lililozuia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi haramu wasakwa A.K

Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliaji kanisa Kenya wasakwa

Taharuki imetanda baada ya watu waliojihami kufyetua risasi na kuwaua waumini ndani ya kanisa moja katika eneo la Likoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliofanya shambulio la Mandera wasakwa

Wanajeshi na polisi wa Kenya wanawasaka al-Shabaab waliouwa abiria 28 katika basi karibu na Mandera, mji ulio karibu na Somalia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani