Waliowajeruhi polisi TZ wasakwa
Polisi nchini Tanzania wamesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV01 Apr
Waliofanya mauaji ya Polisi wasakwa.
Na Glory Matola na Epiphania Magingo,
Dar es Salaam.
Machi 31, 2015
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Polisi mkoani Pwani limeanza oparesheni kali ya kuwasaka watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliowavamia na kuwaua askari wawili na kumjeruhi mmoja na kisha kupora bunduki aina ya SMG katika eneo la kizuizi cha Polisi mkoani Pwani.
Tukio hilo limetokea Machi 30 mwaka huu majira ya saa mbili usiku katika barabara ya Kilwa Kata ya Vikindu wilayani...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Walioua polisi wasakwa usiku na mchana
JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Washirika wa shambulizi Ufaransa wasakwa
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Waliohusika na mapinduzi Gambia wasakwa
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Walanguzi madini ya Tanzanite wasakwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvejF-RPXdrmp0A3qeLuoWZ2*Fo4js6MefJ6KErIMSeKCbnDW21DZfQ4dp1mZK9EZNbjK8TWZN4DWXaJ1OOYwze/AISHA.jpg)
WALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wachimba migodi haramu wasakwa A.K
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Washambuliaji kanisa Kenya wasakwa
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Waliofanya shambulio la Mandera wasakwa