Waliohusika na mapinduzi Gambia wasakwa
Watu kadhaa wamekamatwa na kuzuiliwa, kufuatia jaribio la mapinduzi ya hapo Jumanne dhidi ya kiongozi wa nchi hiyo, Yahya Jammeh.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Waliopanga mapinduzi Gambia mashakani
10 years ago
Habarileo25 Nov
TUCTA: Waliohusika sakata la Escrow wachukuliwe hatua
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema waliohusika na wizi katika akaunti ya Escrow, iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuchukuliwa hatua kali na shirikisho hilo halitokubaliana na jitihada zozote za kufunika wizi huo.
9 years ago
StarTV24 Nov
Kufutwa Uchaguzi Zanzibar Waliohusika watakiwa kuchukuliwa hatua
Shirikisho la vyuo vikuu Zanzibar limeomba kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya mtu yeyote aliyehusika na kusababisha kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar bila kujali cheo ama wadhifa wake.
Akisoma taarifa ya wasomi hao wanaounga mkono ccm mbele ya wanahabari visiwani Zanzibar Makamu mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vya elimu ya juu wanaunga mkono CCM Zanzibar Hamid Saleh Muhina anasema maeneo mengi ya hujuma katika uchaguzi huo yamebainika ila tuma na baadhi ya makamishna kukaa kimya...
10 years ago
Vijimambo23 Nov
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kifo cha George Floyd: Tunafahamu nini kuhusu maafisa 4 wa polisi waliohusika?
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Waliowajeruhi polisi TZ wasakwa
10 years ago
StarTV01 Apr
Waliofanya mauaji ya Polisi wasakwa.
Na Glory Matola na Epiphania Magingo,
Dar es Salaam.
Machi 31, 2015
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Polisi mkoani Pwani limeanza oparesheni kali ya kuwasaka watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliowavamia na kuwaua askari wawili na kumjeruhi mmoja na kisha kupora bunduki aina ya SMG katika eneo la kizuizi cha Polisi mkoani Pwani.
Tukio hilo limetokea Machi 30 mwaka huu majira ya saa mbili usiku katika barabara ya Kilwa Kata ya Vikindu wilayani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvejF-RPXdrmp0A3qeLuoWZ2*Fo4js6MefJ6KErIMSeKCbnDW21DZfQ4dp1mZK9EZNbjK8TWZN4DWXaJ1OOYwze/AISHA.jpg)
WALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Waliofanya shambulio la Mandera wasakwa