Wamaasai watakaomtumbuiza Obama
Kundi la wamaasai waliochaguliwa kumtumbuiza rais Obama atakapotua Kenya Ijumaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Wamaasai ni wasusi hodari Tz
Vijana wamaasai wamelazimika kuwacha ufugaji na sasa wanapatikana jijini Dar es Salaam wakitafuta ajira na kuishia kuwa wasusi watajika
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Wamaasai wagomea mipango miji
Jamii ya wafugaji wa kabila la Wamasai katika Kijiji cha Chamakweza, Kata ya Pera wilayani Bagamoyo wamepinga vikali hatua ya Serikali kuingiza kijiji hicho kwenye mpango wa mipango miji wakati eneo hilo likiwa limetengewa kwa matumizi ya wafugaji.
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Wamaasai watoana kijasho 'Olimpiki' Kenya
Olimpiki ya wanariadha wamaasai imefanyika nchini Kenya miwhsoni mwa juma waasai hao wakitoana kijasho katika riadha na michezo mingineyo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N2X9Jqq9f_o/U6ldM84rj3I/AAAAAAAFsmY/_rdt3s1ovQQ/s72-c/unnamed+(1).jpg)
SHULE YA JAMII YA WAMAASAI WILAYANI HAI YAPIGA MAENDELEO YA KASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-N2X9Jqq9f_o/U6ldM84rj3I/AAAAAAAFsmY/_rdt3s1ovQQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C-JTpLV1n1M/U6ldNLurfcI/AAAAAAAFsmc/FbK2Egq2kTg/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9fGMS_859bU/U6ldNIHNgQI/AAAAAAAFsnI/QjeOYAoJm8k/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s72-c/7.jpg)
VIONGOZI WA MILA WA JAMII YA WAMAASAI TOKOA MKOA WA ARUSHA NA MANYARA WAKUTANA NA KINANA
Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCMWataka wafugaji wamilikishwe ardhiWaitaka serikali kuboresha maisha ya wafugajiWataka wazawa wapewe kipaumbele zaidiWatoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania