Wamaasai ni wasusi hodari Tz
Vijana wamaasai wamelazimika kuwacha ufugaji na sasa wanapatikana jijini Dar es Salaam wakitafuta ajira na kuishia kuwa wasusi watajika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Wamaasai watakaomtumbuiza Obama
Kundi la wamaasai waliochaguliwa kumtumbuiza rais Obama atakapotua Kenya Ijumaa
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Wamaasai wagomea mipango miji
Jamii ya wafugaji wa kabila la Wamasai katika Kijiji cha Chamakweza, Kata ya Pera wilayani Bagamoyo wamepinga vikali hatua ya Serikali kuingiza kijiji hicho kwenye mpango wa mipango miji wakati eneo hilo likiwa limetengewa kwa matumizi ya wafugaji.
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Wamaasai watoana kijasho 'Olimpiki' Kenya
Olimpiki ya wanariadha wamaasai imefanyika nchini Kenya miwhsoni mwa juma waasai hao wakitoana kijasho katika riadha na michezo mingineyo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N2X9Jqq9f_o/U6ldM84rj3I/AAAAAAAFsmY/_rdt3s1ovQQ/s72-c/unnamed+(1).jpg)
SHULE YA JAMII YA WAMAASAI WILAYANI HAI YAPIGA MAENDELEO YA KASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-N2X9Jqq9f_o/U6ldM84rj3I/AAAAAAAFsmY/_rdt3s1ovQQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C-JTpLV1n1M/U6ldNLurfcI/AAAAAAAFsmc/FbK2Egq2kTg/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9fGMS_859bU/U6ldNIHNgQI/AAAAAAAFsnI/QjeOYAoJm8k/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Mwanamuziki hodari wa Kenya apofuka
Je unamkumbuka mwanamuziki hodari wa Kenya Teddy Kalanda na bendi yake ya Them Mushrooms?
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti
Watafiti waliokuwa wakiwachunguza sokwe nchini Guinea kwa miak 17 wamegundua kuwa wanyama hao wamezoea kukwea minazi na kubugia mvinyo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLReFOV2YALf9ab7jvq0EoZPbHjRBu0yDF6nXH1xaDy1ZXZX2FPq3CdNphw-ojWhyOm0r4IRG1NcDXn30jPyjgH/Mastaa.jpg?width=650)
MASTAA HODARI WA KUFICHA MIMBA
Hamida hassan
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya. Jennifer Kyaka 'Odama' akiwa na mwanaye. Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu...
11 years ago
Habarileo23 Apr
Seif atajwa mtetezi hodari serikali 2
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, ametajwa katika Bunge Maalumu la Katiba, kuwa miongoni mwa viongozi wa mstari wa mbele kupinga muundo wa serikali tatu mwaka 1984, huku akiwaita wanaoutaka kuwa ni wahaini wanaostahili kuchukuliwa hatua.
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Lowassa: CCM hodari wa kuiba kura
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2826456/highRes/1085316/-/maxw/600/-/o1sbuaz/-/lowassa.jpg)
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na mgombea urais wa muungano wa Ukawa, Edward Lowassa wakiwapungia mkono wananchi waliofurika makao makuu ya CUF, Buguruni jijini Dar es Salaam jana. Picha na Anthony Siame Kwa ufupiLubuva ataka aeleze jinsi wizi unavyofanyikaMtikisiko mwingine CCM, Mwenyekiti Arusha atimkaBy Nuzulack Dausen na Suzan Mwillo, Mwananchi
Dar es Salaam. Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameituhumu CCM kuwa ni hodari wa kuiba kura hivyo akawataka wananchi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania