Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamuziki hodari wa Kenya apofuka

Je unamkumbuka mwanamuziki hodari wa Kenya Teddy Kalanda na bendi yake ya Them Mushrooms?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI MAARUFU WA MAREKANI AKONI AMTEMBELEA RAIS WA KENYA UHURU KENYATA

Uhuru Kenyatta"Today, I held a meeting with U.S -based Senegalese musician, Akon, who paid me a courtesy call at State House, Nairobi. Akon affirmed his commitment to light up Kibera and other selected parts of rural Kenya. The initiative is part of his Lighting Africa project that aims to provide electricity to a million households across the continent by the end of the year. It is good to see that discussions on scaling up supply of power to Kenyans that we started during last month’s U.S...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamaasai ni wasusi hodari Tz

Vijana wamaasai wamelazimika kuwacha ufugaji na sasa wanapatikana jijini Dar es Salaam wakitafuta ajira na kuishia kuwa wasusi watajika

 

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe ni walevi Hodari :Utafiti

Watafiti waliokuwa wakiwachunguza sokwe nchini Guinea kwa miak 17 wamegundua kuwa wanyama hao wamezoea kukwea minazi na kubugia mvinyo

 

10 years ago

GPL

MASTAA HODARI WA KUFICHA MIMBA

Hamida hassan
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya. Jennifer Kyaka 'Odama' akiwa na mwanaye. Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu...

 

11 years ago

Habarileo

Seif atajwa mtetezi hodari serikali 2

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, ametajwa katika Bunge Maalumu la Katiba, kuwa miongoni mwa viongozi wa mstari wa mbele kupinga muundo wa serikali tatu mwaka 1984, huku akiwaita wanaoutaka kuwa ni wahaini wanaostahili kuchukuliwa hatua.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa: CCM hodari wa kuiba kura



Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na mgombea urais wa muungano wa Ukawa, Edward Lowassa wakiwapungia mkono wananchi waliofurika makao makuu ya CUF, Buguruni jijini Dar es Salaam jana. Picha na Anthony Siame Kwa ufupiLubuva ataka aeleze jinsi wizi unavyofanyikaMtikisiko mwingine CCM, Mwenyekiti Arusha atimkaBy Nuzulack Dausen na Suzan Mwillo, Mwananchi

Dar es Salaam. Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameituhumu CCM kuwa ni hodari wa kuiba kura hivyo akawataka wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Balozi Mahiga alikuwa hodari tangu shuleni’

Balozi Augustino Mahiga ni miongoni mwa makada wa CCM ambao wamejitokeza kutangaza na kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu ujao kupitia chama hicho tawala.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndio Mastaa Hodari Kuficha Mimba

Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.

Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia.

Lakini wapo ambao wakinasa, hata shughuli zao zinasimama. Hutawaona mtaani, wakiulizwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani