Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamchangia Jaji Warioba nauli akatoe somo la Katiba

Wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro wamechanga Sh200,000 za nauli ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ili aweze kufika jimboni humo kutoa somo la Katiba

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Jaji Warioba awapa somo UDSM

Joseph WariobaALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewataka wanafunzi na walimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuzitambua kazi zilizofanywa na viongozi wao waliomaliza muda kwa kuwapa heshima kutokana na mabadiliko waliyofanya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Ramadhani awapa somo wajumbe wa katiba

ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Augustino Ramadhani, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kujadili vipengele vya rasimu kwa kuviboresha badala ya kulumbana. Jaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Somo la Jaji Ramadhan kwa Wajumbe wa Katiba

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba amemaliza kazi ya kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa Wajumbe wa Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Vijimambo

Majibu ya Jaji Warioba Katiba Mpya


  Imezingatia asilimia 20 tu ya maudhui ya Tume  Masharti ya mgombea binafsi hayatekelezeki  Kura ya maoni kabla ya uchaguzi mkuu haiwezekani  Muundo wa Muungano umeiweka Zanzibar pabaya zaidi  Ni vigumu Rais wa Muungano kutoka Zanzibar  Madaraka ya Bunge kuisimamia Serikali yamemomonyolewa  Hakuna anakoenziwa Nyerere, maadili yametupwa
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema muundo wa Muungano uliopendekezwa kwenye Katiba pendekezwa ‘una utata...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jaji Warioba: Siioni Katiba Mpya

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hali ya mambo yanayoendelea bungeni mjini Dodoma, haoni matumaini ya kupatikana Katiba mpya na hali hiyo imemkatisha tamaa. Wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema Bunge Maalumu la Katiba, litatekeleza majukumu yake kwa kufuata Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na si mawazo ya mtu yeyote.

 

10 years ago

Vijimambo

Jaji Warioba: Siendi Dodoma makabidhiano ya Katiba

Dar/Dodoma. Wakati Katiba inayopendekezwa ikikabidhiwa kesho kwa Rais Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hata akialikwa katika sherehe hizo hatahudhuria kutokana na majukumu aliyonayo kwa sasa.Jaji Warioba alisema angependa kuhudhuria sherehe hiyo ambayo pia itahudhuriwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wakuu wa mikoa, mabalozi na wageni mbalimbali, lakini kutokana na dharura aliyoipata haitawezekana.Sherehe hiyo itafanyika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani