Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanahabari wa Al-Jazeera wasamehewa Misri

Wanahabari wawili wa Al Jazeera waliofungwa jela Misri kwa makosa ya kupeperusha habari za uongo wamepewa msamaha na rais.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WANAHABARI WATATU WA AL JAZEERA JELA MIAKA 7

Wanahari wa Al Jazeera waliohukumiwa kwenda jela miaka 7. MAHAKAMA nchini Misri imewahukumu kwenda jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa Shirika la Habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa miezi sita nchini humo. Wanahabari hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za upotoshaji na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood. Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Al Jazeera Misri yarejelewa

Wakuu wa mahakama Misri wameamua kurudia kesi ya waandishi wa habari wawili wa Al Jazeera walioko bado kifungoni

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri kumuachilia mwanahabari wa Al Jazeera

Kiongozi wa mashtaka ya umma wa Misri ameamuru kuachiliwa kwa mwanahabari wa Al-jazeera Abdullah Elshamy kwa misingi ya kiafya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanahabari kufikishwa mahakamani Misri

Waandishi habari 20 wakiwemo 4 wa kigeni wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo mjini Cairo, Misri baada ya kuhusihwa na ugaidi

 

11 years ago

Mwananchi

Wasamehewa kodi kuanikwa bungeni

Ripoti ya misamaha ya kodi inayotolewa kwa watu na taasisi nchini na jinsi inavyotia hasara au kulinufaisha taifa, inatarajiwa kuwasilishwa katika mkutano wa Bunge la Bajeti, imefahamika.

 

10 years ago

BBC

Al-Jazeera verdict delayed again

Verdicts in the retrial of three al-Jazeera journalists in Egypt previously jailed for allegedly aiding the banned Muslim Brotherhood are delayed again.

 

10 years ago

BBC

Egypt retrial for al-Jazeera three

Egypt's highest court orders a retrial in the case of three al-Jazeera journalists jailed for spreading false news.

 

11 years ago

BBC

Why is Egypt targeting Al-Jazeera?

Why is Al-Jazeera being targeted by the new government?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani