Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AL JAZEERA VIDEO: RAIS NKURUNZIZA AKIWAHUTUBIA WANAHABARI MJINI BUJUMBURA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS NKURUNZIZA AWAHUTUBIA WANAHABARI MJINI BUJUMBURA

RAIS Pierre Nkurunziza wa Burundi amewahutubia wanahabari mjini Bujumbura ikiwa ni mara ya kwanza tangu arejee nchini humo akitokea Tanzania baada ya jaribio la kutaka kumpindua kukwama. Rais huyo alirejea Burundi juzi Ijumaa ikiwa ni siku mbili tangu jaribio la kutaka kumpindua kugonga mwamba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanahabari wa Al-Jazeera wasamehewa Misri

Wanahabari wawili wa Al Jazeera waliofungwa jela Misri kwa makosa ya kupeperusha habari za uongo wamepewa msamaha na rais.

 

11 years ago

GPL

WANAHABARI WATATU WA AL JAZEERA JELA MIAKA 7

Wanahari wa Al Jazeera waliohukumiwa kwenda jela miaka 7. MAHAKAMA nchini Misri imewahukumu kwenda jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa Shirika la Habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa miezi sita nchini humo. Wanahabari hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za upotoshaji na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood. Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia...

 

10 years ago

GPL

MAANDAMANO YAIBUKA UPYA MJINI BUJUMBURA, BURUNDI

Waandamanaji mjini Bujumbura wakikimbia hovyo baada ya kurushiwa risasi za moto na polisi.
Waandamanaji wakionesha msimamo wao wa kumtaka Rais Pierre Nkurunziza kutogombea tena nafasi hiyo muhula ujao.
Jeshi la Polishi na wanajeshi…

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI

Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…

 

10 years ago

GPL

BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI

Vurugu za kuchoma moto vitu mbalimbali zikiendelea. Waandamanaji wakiendeleza maandamano mjini Bujumbura. Magurudumu yakichomwa moto, barabara ikiwa imefungwa na waandamanaji. Bujumbura,…

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Police fire at protesters in Bujumbura

The army has been deployed in Burundi as protests continue for a second day against President Pierre Nkurunziza's decision to run for a third term in office.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani