RAIS NKURUNZIZA AWAHUTUBIA WANAHABARI MJINI BUJUMBURA
![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjMe9EGszUbOVYKxkzoAF3rJbBonwrYV9ss2yFkssrgvRxGGkMrPlz1mbG6OG8gM7-X2sEOv2ThmsVQjtI5px-lr/PierreNkurunziza.jpg?width=650)
RAIS Pierre Nkurunziza wa Burundi amewahutubia wanahabari mjini Bujumbura ikiwa ni mara ya kwanza tangu arejee nchini humo akitokea Tanzania baada ya jaribio la kutaka kumpindua kukwama. Rais huyo alirejea Burundi juzi Ijumaa ikiwa ni siku mbili tangu jaribio la kutaka kumpindua kugonga mwamba.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL19 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKk*j8peVa1sCjggpkjIor7zz7xGFH-V2aUyZ8lTxBLbYoucWvREKnp60mBukoM7q04Gikb9gcgIArAfqADyhjP0/22.jpg?width=650)
MAANDAMANO YAIBUKA UPYA MJINI BUJUMBURA, BURUNDI
Waandamanaji mjini Bujumbura wakikimbia hovyo baada ya kurushiwa risasi za moto na polisi.
Waandamanaji wakionesha msimamo wao wa kumtaka Rais Pierre Nkurunziza kutogombea tena nafasi hiyo muhula ujao.
Jeshi la Polishi na wanajeshi…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIK*NKsuMwT3**ER6sTuipLpg8mnVoxd9AO*9qJxbTcilbm23HUQEcIOKwqdjPeIheihTTqDRJLsrpuqNfwYsvt/12.jpg?width=650)
BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI
Vurugu za kuchoma moto vitu mbalimbali zikiendelea. Waandamanaji wakiendeleza maandamano mjini Bujumbura. Magurudumu yakichomwa moto, barabara ikiwa imefungwa na waandamanaji. Bujumbura,…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuIalx21XIuFjsawGRQF26l61MzENlF8WOwJJqSthChfiwuyElWmGJPTTqDATjfcJcEXJnpBN5jX3LcXyIJmtfPH/burundi1.png?width=650)
MAREKANI YAFUNGA UBALOZI WAKE MJINI BUJUMBURA-BURUNDI
Jengo la ubalozi wa Marekani nchini Burundi lililopo mjini Bujumbura. Ubalozi wa malekani nchini Burundi. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke. Serikali ya Marekani kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura,…
10 years ago
Michuzi10 Jun
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-1536x864.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s400/F87A4658-2-1536x864.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGJ4d8t1fvA/XuzPqflRA_I/AAAAAAAAz28/m_D2vvNAJ3Y1jKM40IHqmpZqR0LREiujQCLcBGAsYHQ/s400/F87A4665-2-1536x812.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania