Wananchi 500 wafunga lango la A to Z
Wananchi zaidi ya 500 kutoka mitaa mbalimbali ya Kata ya Mateves jijini Arusha ,jana walifunga lango kuu la kuingia kwenye kiwanda cha A to Z kinachotengeneza bidhaa za aina mbalimbali zikiwemo vyandarua na nguo, wakipinga kiwanda hicho kutiririsha majitaka kwenye makazi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wananchi wafunga barabara
Wakazi wa Kijiji Melela Mangae, Kata ya Melela, wilayani Mvomero, wamefunga barabara ya Morogoro- Iringa kwa zaidi ya saa sita wakishinikiza kuondolewa kwa wafugaji wa jamii ya Kimasai kijijini hapo kwamba wamekuwa wakiwapiga na kuingiza mifugo mashambani.
10 years ago
Vijimambo24 Feb
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU


WANANCHI wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa, wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo asubuhi kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika...
10 years ago
GPL
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
Muonekano wa mji wa Ilula mkoani Iringa baada ya wananchi kufunga barabara kuu ya mji huo. Mabasi ya kwenda mikoani yakiwa yamepaki baada ya wananchi kufunga…
11 years ago
Michuzi05 May
Breaking Nyuzzzzz: wananchi Kibaigwa wafunga barababa usiku huu
Wananchi wa kijiji cha kibaigwa wamefunga Barabara kuu ya Morogoro kwende Dodoma usiku huu, kwa madai ya kutaka kupunguzwa Kwa ushuru wa mazao na kuamua kufunga barabara hiyo ili waweze kuonana na uongozi wa juu wa Serikali ili kusikiliza mahitaji yao ambayo wanadai hayajawahi fanyika kazi na viongozi wa Kijiji.
Kinachoendelea hivi sasa ni Jeshi la Polisi likijaribu kuwatawanya wananchi hao kwa kutumia mabobu ya machozi.
Wananchi hao wamejikusanya kuwatawanya kwa wingi katika eneo hilo...
Kinachoendelea hivi sasa ni Jeshi la Polisi likijaribu kuwatawanya wananchi hao kwa kutumia mabobu ya machozi.
Wananchi hao wamejikusanya kuwatawanya kwa wingi katika eneo hilo...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI
Polisi wakiondoa vizuizi vilivyowekwa na wananchi barabarani.…
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
>Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Mradi wa maji kuwakomboa wananchi 247,500 K’njaro
>Serikali imeanza ujenzi wa mradi wa maji utakaowanufaisha wananchi 247,500 katika vijiji 28 vya wilaya za Mwanga na Same, mkoani Kilimanjaro.
10 years ago
Michuzi.jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
.jpg)
.jpg)
.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania