Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi Kibaha wawagomea Tanroads

WAKAZI wa Kata ya Pangani na Maili Moja katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, wamewazuia Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuweka mawe katika maeneo yao kabla hawajalipwa fidia. Maeneo hayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa mji wa Kibaha, katika mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika mjini Kibaha, Pwani jana. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kibaha Mjini, ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Kata ya Kongowe, Joseph Baziry, wakati wa mkutano...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WILAYANI KIBAHA WAPATIWA MAJI BURE

Na John Gagarini, Kibaha
WAKAZI wa Mitaa ya Vikawe, Vikawe Shuleni, Vikawe Bondeni na Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wamepatiwa ofa ya kutumia maji bure kwa miezi mitatu baada ya huduma hiyo kuanza kupatikana ambapo mitaa hiyo haikuwa na maji ya bomba tangu kuanzishwa kwake.
Maji hayo tayari yameshaanza kutoka yanatokana na chanzo cha maji cha Ruvu Juu baada ya mitaa hiyo kutokuwa na maji kabisa ambapo awali walikuwa wakitumia maji ya visima na mto .
Akizungumza na mabalozi, makatibu na...

 

5 years ago

Michuzi

BEI JUU YA SUKARI YAWALIZA WANANCHI KIBAHA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI

BAADHI ya maduka wilayani Kibaha yanauza sukari kwa bei ya sh. 3,200-4,000 kwa kilo ambayo ni kinyume na bei elekezi ya serikali kwa mkoa wa Pwani ambayo ni sh. 2,700.
Kero hiyo imejitokeza kutokana na wauzaji wa maduka ya maeneo mbalimbali ya wilayani ya Kibaha hayana bidhaa hiyo muhimu ,na sasa sukari imekuwa adimu.
Wananchi wakizungumza walisema sukari imekuwa ikiuzwa kwa kificho ambapo wakiwa na wasiwasi wanasema sukari hamna wakiogopa kukamatwa na polisi...

 

10 years ago

Mtanzania

Maaskofu Katoliki wawagomea mashoga

VaticanVATICAN CITY, VATICAN

MAASKOFU wa Kanisa la Katoliki juzi waligoma kupitisha mabadiliko makubwa ya kihistoria kuhusu msimamo wao mkali dhidi ya masuala ya ushoga, utoaji mimba na wanandoa waliotalikiana.

Uamuzi huo,ulifichua uwapo wa pengo kubwa ndani ya kanisa hilo mwishoni wa mkutano huo wa wiki mbili.

Maaskofu wa kanisa hilo walikuwa wamekutana kujadili jinsi mafunzo ya kanisa hilo yanavyoweza kufanyiwa mageuzi ili kuambatana na maisha ya kisasa.

Hiyo ni pamoja na kukaribisha ‘zawadi na...

 

9 years ago

Michuzi

Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge wa jimbo la Chalinze,Ndugu Ridhiwani Kikwete.Dkt Magufuli amefanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini,Kibamba na Kibaha mjini.Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi kitabu cha Ilani ya ccm kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Kibaha vijini .Nduggu Hamoud Abuu Jumaa.Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA alipojichanganya kwenye mkutano wa CCM,maara baada ya kuvutiwa na sera za Mgombea Urais...

 

11 years ago

From Overloading Vehicles

Tanroads collects 744m/


Tanroads collects 744m/- from overloading vehicles
IPPmedia
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) in Coast region has collected 744m/- in fines for overloading in 2013 alone. In a report presented during a one-day meeting for Coast region's road board held over the weekend in Kibaha, Eng Salome ...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanroads kukabili foleni

Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Dar es Salaam, umesema upo kwenye mikakakati ya kutekeleza mradi wa kuboresha vituo vya daladala kwenye barabara kuu kwa lengo la kupunguza foleni jijini.

 

10 years ago

Owing To Offensive Culvert

Tanroads to cough up 90m/


Tanroads to cough up 90m/- owing to offensive culvert
Daily News
THE High Court has ordered Tanzania National Roads Agency (Tan-roads) to pay 90m/- in damages to the owner of St. Moses Nursery School, Mr Moses Kabambara, for constructing a tunnel along the road, leading rainy water to flood his school.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani