Wananchi Kibaha wawagomea Tanroads
WAKAZI wa Kata ya Pangani na Maili Moja katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, wamewazuia Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuweka mawe katika maeneo yao kabla hawajalipwa fidia. Maeneo hayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Feb
Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha
![](https://2.bp.blogspot.com/-UgXJcsGVZ1Q/Uu-5Cpc7jKI/AAAAAAACoOo/LKT-bkV7Oro/s1600/Mbowe+kuhutubia+Kibaha.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnyOd2laooo/Uu-5CPTSPdI/AAAAAAACoOg/bII30qq6ma0/s1600/Kukabidhi+kadi+2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7txqijP0MEk/U7lXjRHMmHI/AAAAAAAFvTY/stTXk8zX9o0/s72-c/IMG_20130814_130834_0.jpg)
WANANCHI WILAYANI KIBAHA WAPATIWA MAJI BURE
![](http://4.bp.blogspot.com/-7txqijP0MEk/U7lXjRHMmHI/AAAAAAAFvTY/stTXk8zX9o0/s1600/IMG_20130814_130834_0.jpg)
WAKAZI wa Mitaa ya Vikawe, Vikawe Shuleni, Vikawe Bondeni na Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wamepatiwa ofa ya kutumia maji bure kwa miezi mitatu baada ya huduma hiyo kuanza kupatikana ambapo mitaa hiyo haikuwa na maji ya bomba tangu kuanzishwa kwake.
Maji hayo tayari yameshaanza kutoka yanatokana na chanzo cha maji cha Ruvu Juu baada ya mitaa hiyo kutokuwa na maji kabisa ambapo awali walikuwa wakitumia maji ya visima na mto .
Akizungumza na mabalozi, makatibu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iX0BIWwSmZE/XrpwURRfPYI/AAAAAAALp44/JcimFnW_jOgCt6g-l3a8vyfyzSBm3IDBgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
BEI JUU YA SUKARI YAWALIZA WANANCHI KIBAHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iX0BIWwSmZE/XrpwURRfPYI/AAAAAAALp44/JcimFnW_jOgCt6g-l3a8vyfyzSBm3IDBgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200429-WA0007.jpg)
BAADHI ya maduka wilayani Kibaha yanauza sukari kwa bei ya sh. 3,200-4,000 kwa kilo ambayo ni kinyume na bei elekezi ya serikali kwa mkoa wa Pwani ambayo ni sh. 2,700.
Kero hiyo imejitokeza kutokana na wauzaji wa maduka ya maeneo mbalimbali ya wilayani ya Kibaha hayana bidhaa hiyo muhimu ,na sasa sukari imekuwa adimu.
Wananchi wakizungumza walisema sukari imekuwa ikiuzwa kwa kificho ambapo wakiwa na wasiwasi wanasema sukari hamna wakiogopa kukamatwa na polisi...
10 years ago
Mtanzania20 Oct
Maaskofu Katoliki wawagomea mashoga
VATICAN CITY, VATICAN
MAASKOFU wa Kanisa la Katoliki juzi waligoma kupitisha mabadiliko makubwa ya kihistoria kuhusu msimamo wao mkali dhidi ya masuala ya ushoga, utoaji mimba na wanandoa waliotalikiana.
Uamuzi huo,ulifichua uwapo wa pengo kubwa ndani ya kanisa hilo mwishoni wa mkutano huo wa wiki mbili.
Maaskofu wa kanisa hilo walikuwa wamekutana kujadili jinsi mafunzo ya kanisa hilo yanavyoweza kufanyiwa mageuzi ili kuambatana na maisha ya kisasa.
Hiyo ni pamoja na kukaribisha ‘zawadi na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s72-c/_MG_8626.jpg)
Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s640/_MG_8626.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v71L4Lfc83g/VikjJoulG3I/AAAAAAADBTs/ynUqrQMxGMs/s640/_MG_8581.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VeSlQCeD2Lw/VikjSh8EWJI/AAAAAAADBUU/roQcPwLizU0/s640/_MG_8765.jpg)
11 years ago
From Overloading Vehicles19 Feb
Tanroads collects 744m/
IPPmedia
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) in Coast region has collected 744m/- in fines for overloading in 2013 alone. In a report presented during a one-day meeting for Coast region's road board held over the weekend in Kibaha, Eng Salome ...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Tanroads kukabili foleni
10 years ago
Owing To Offensive Culvert22 Apr
Tanroads to cough up 90m/
Daily News
THE High Court has ordered Tanzania National Roads Agency (Tan-roads) to pay 90m/- in damages to the owner of St. Moses Nursery School, Mr Moses Kabambara, for constructing a tunnel along the road, leading rainy water to flood his school.