Wananchi wailaumu serikali
WANANCHI wa vijiji vya Kata ya Maguha na Magubike wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameilaumu serikali kuwatelekeza kwa kutowapa elimu ya sera na sheria za ardhi mbali na umuhimu wake katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Wakazi Nakalekwa wailaumu manispaa
WAKAZI wa Nakalekwa, Kata ya Wazo, Manispaa ya Kinondoni, wameitupia lawama manispaa hiyo kwa kuegemea upande mmoja katika mgogoro wa ardhi unaolihusu eneo lao. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Katibu...
10 years ago
Vijimambo05 Jan
9 years ago
StarTV04 Jan
Wakazi Chekimaji wailaumu halmashauri ya Hai kwa Uharibifu wa Mashamba Ya Mpunga
Wakazi wa Kijiji cha Chekimaji wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kushindwa kuwashirikisha katika ujenzi wa mradi wa Barabara yenye urefu wa kilomita 30 inayojengwa kwa kiwango cha Moramu kwa gharama ya shilingi bilioni 1.4.
Malalamiko hayo yanakuja kutokana na uharibifu mkubwa wa mashamba ya Mpunga baada ya ujenzi wa barabara hiyo inayopita katikati ya mashamba hayo kuanza mara moja.
Katika mkutano maalumu uliowakutanisha wakulima wenye...
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
11 years ago
Habarileo19 Mar
Wananchi Zanzibar wakataa serikali 3
ASILIMIA 60 ya wananchi wa visiwani Zanzibar waliotoa maoni yao kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wametaka muundo wa Muungano wa serikali ya mkataba na hakuna hata mwananchi mmoja aliyetaka muundo wa serikali tatu.
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Sasa ni vita ya serikali na wananchi
TANGU kuzaliwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mwaka 1992 hali ya kisiasa imekuwa ya mvurugano. Watawala ambao ni CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani wao....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZyuJbuTtBC8/XotXIpmjuRI/AAAAAAALmPQ/PVHIlXXoD-84xneh4KW9rXVq5AFXqZKxQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c16a246-096d-41b4-93d3-b7b14fb56d67.jpg)
WANANCHI WAITIKIA WITO WA SERIKALI
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Leo Jumatatu Aprili 6, 2020 Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amewashukuru Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kwa kuitikia vyema wito wa Serikali wa kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na kirusi Corona.
Gavana Shilatu ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kukagua maeneo mbalimbali kuona namna gani Wananchi wanajikinga na ugonjwa wa virusi vya Corona ambapo alikuta Watu wengi wamezingatia somo la kunawa kwa kuweka ndoo yenye maji pamoja na sabuni...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Serikali yawatoa hofu wananchi
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...