Wananchi walivyotembelea mradi wa viwanja Vikuruti
Baadhi ya wananchi wakiangalia ramani katika mradi wa viwanja unaoendeshwa na Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, katika eneo la Vikuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani mwishoni mwa wiki na kusimamiwa na Meneja Mauzo wa Taasisi hiyo Nasra Sudi. Picha zote na Mpigapicha Wetu.
Wananchi waliokwenda kuonyeshwa viwanja hivyo wakipata somo la mradi huo wa vianja vya Vikuruti unaoendeshwa na Taasisi ya Bayport Financial Services.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20fzw7323-X5xZt2u6V4wsEPhTgfYG3eE-SUXj2jca54RXCDIxQ9dfV708Pvv8TcKaL7Icv1ToDKEtdnS37NINg/20150530_114121.jpg?width=650)
WATANZANIA WACHANGAMKIA VIWANJA VYA BAYPORT VIKURUTI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9UBEvejSweQ/VXFj1mND15I/AAAAAAAAI6g/-bukwHmpQjU/s72-c/20150530_114121.jpg)
WATANZANIA WAVICHANGAMKIA VIWANJA VYA BAYPORT VIKURUTI
Kuchangamkiwa kwa viwanja hivyo kumekuja siku chache baada ya kuzindua huduma mpya ya mikopo ya viwanja hivyo kutoka Bayport, ikiwa ni ishara nzuri na njia ya kuwapa fursa Watanzania ya kumiliki nyumba.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial...
10 years ago
MichuziBayport yasogeza mbele ofa ya viwanja vya mikopo Vikuruti
Bayport yasogeza mbele ofa ya viwanja vya mikopo VikurutiNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo imesogeza mbele huduma yao mpya ya mikopo ya viwanja vilivyopo Vikukuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani kwa ajili ya kutoa fursa zaidi ya Watanzania kupata viwanja hivyo vilivyopimwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wBnq1ntyIYA/XnEkLyhNbMI/AAAAAAALkMk/ZUcIeek5KQ4oPTcYGgtWVbwz2fCXuT9OgCLcBGAsYHQ/s72-c/3-39.jpg)
KAMATI YA BUNGE YAVUTIWA UTEKELEZAJI MRADI WA VIWANJA ILEMELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wBnq1ntyIYA/XnEkLyhNbMI/AAAAAAALkMk/ZUcIeek5KQ4oPTcYGgtWVbwz2fCXuT9OgCLcBGAsYHQ/s640/3-39.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akifafanua jambo wakati akijibu hoja za baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii wakati wa kupokea taarifa ya utekelezaji mradi wa viwanja katika halmashauri ya manispaa ya ilemela mkoani Mwanza jana. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati Kemilembe Lwota.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/28de3501-4711-4128-9914-7816fa4dee94.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akijibu hoja kutoka kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na...
5 years ago
MichuziNHC YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAUZO YA VIWANJA VYAKE MRADI WA SAFARI CITY ARUSHA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-afrk5kwCOmA/U9_5CEVgkxI/AAAAAAAF9Jw/hrsCuYsHnXI/s72-c/MMGM0222.jpg)
MKUU WA MKOA WA PWANI AZINDUA MRADI MPYA WA VIWANJA VYA PANGANI,KIBAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-afrk5kwCOmA/U9_5CEVgkxI/AAAAAAAF9Jw/hrsCuYsHnXI/s1600/MMGM0222.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JvU-ar1_6s4/U9_5FO7RPoI/AAAAAAAF9J4/IKwsNYrIOuc/s1600/MMGM0234.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Taasisi ya UTT-PID chini ya Wizara ya Fedha yapanua barabara eneo la mradi wa viwanja Lindi
Muonekano wa viwanja vya Mabano vilivyopimwa na Taasisi ya UTT-PID kwa ushirikiano na Halmashauri vilivyopo Manispaa ya Lindi.
Baada ya kupima na kufanikiwa kuuza viwanja zaidi ya 2,500 katika fukwe za Mabano na Mmongo kwa ushirikiano na Manispaa ya Lindi, Mradi huo umeingia katika hatua ya upanuzi wa barabara kuu na za mitaa ndani ya mradi ambapo kwa ushirikiano huo zaidi ya Shilingi Billion 1 zinatarajiwa kutumika mpaka kukamilika kwake.
Mradi huo mkubwa zaidi nchini katika upimaji wa...
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wananchi kunufaika na viwanja 444 vya NSSF
Frank Mvungi-Maelezo
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) laanza kuuza viwanja takribani 444 vyenye jumla ya mita za mraba 465,161 katika eneo la Kiluvya A Halmashauri ya Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Hayo yamesema na Meneja Miradi wa NSSF Bw.Abdallah Mseli wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea eneo la mradi huo kuona maendeleo ya mradi huo .
“Eneo hili litakuwa na makazi mapya ya kisasa, litakuwa na huduma muhimu za maji,umeme,barabara na pia kuna maeneo ya kujenga...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB6gSgADomI/VO2XxUKr6VI/AAAAAAADats/t5_Sz2a7n2I/s72-c/Jestina%2Bakiwatambulisha%2Bbendi%2Bya%2BYamoto%2BKwa%2BMh%2BBalozijpg.jpg)
SIKU YAMOTO BAND WALIVYOTEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UK
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB6gSgADomI/VO2XxUKr6VI/AAAAAAADats/t5_Sz2a7n2I/s1600/Jestina%2Bakiwatambulisha%2Bbendi%2Bya%2BYamoto%2BKwa%2BMh%2BBalozijpg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m5ICI7AdInc/VO2XxZ5PnPI/AAAAAAADatw/paqzH060Tro/s1600/Meneja%2Bwa%2Bbendi%2Bya%2BYamoto%2Bakitoa%2Bmachache.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Onrrmii8dXE/VO2XxcOiJZI/AAAAAAADat0/Ch2vUy5rWAk/s1600/Mh%2BBalozi%2Bakibadilishana%2Bmawazo%2Bna%2Bbendi%2Bya%2BYamoto.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aGLssx55Ppo/VO2XyuSYieI/AAAAAAADauE/vjAgX3gBOZQ/s1600/Mh%2Bbalozi%2Bkatika%2Bpicha%2Bya%2Bpamoja%2Bna%2BYamoto.jpg)