Wananchi wamwapisha mwenyekiti wa mtaa
NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kata ya Migombani, Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, jana walimwapisha Japhet Kembo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mwenyekiti mpya wa Mtaa wa Migombani, wakidai ndiye mshindi halali wa nafasi hiyo katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba mwaka jana.
Sambamba na hilo pia wananchi hao waliwaapisha wajumbe watano wa kamati ya mtaa huo, ambao ni Rose Mhagama, Flora Nyangeta, Angelo Machunda,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Mwenyekiti wa Mtaa Ilazo lawamani
WAKAZI wa Mtaa wa Ilazo, Kata ya Ipagala, Manispaa ya Dodoma Mjini, wamemlalamikia Mwenyekiti wa mtaa huo, Samwel Chimalusotola (CCM) kwa kuwatoza fedha pindi wanapohitaji huduma katika serikali hiyo. Wakizungumza...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Segerea aapishwa na wakili binafsi
10 years ago
Michuzi
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay aanza kutekeleza ahadi

10 years ago
Vijimambo
MWENYEKITI WA MTAA ALIYESHINDA SEGEREA JIJINI DAR ES SALAAM AAPISHWA KIAINA

5 years ago
Michuzi
MWENYEKITI KAMATI YA MAZINGIRA MTAA WA TAMBUKARELI MIKONONI MWA TAKUKURU KWA KUJIFANYA OFISA ARDHI ILI KUPATA FEDHA

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa Mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kinyume cha kifungu cha sheria namba 302 cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
Akizungumzia kukamatwa na kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam Donacian Kessy...
9 years ago
Michuzi
9 years ago
Michuzi
9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!

10 years ago
Michuzi