Wanaume waaswa wasitelekeze watoto nje ya ndoa
WANAUME wameshauriwa kuacha kuwatelekeza watoto wao hasa wanaozaa nje ya ndoa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango
WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wanaume waaswa kusindikiza wenza wao kliniki
WANAUME wamehimizwa kuwasindikiza wenza wao ambao ni wajawazito kliniki wakati wa kupima afya zao na kuwa nao karibu wakati wote wa malezi ya watoto wao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD5194AP3CcGGwjBfUdaAc5h5D2zVhCYW0DVNgc-YlGv1ZpyDUAuqjMnaDosnC5yBNG687wY5ataiBREF8g8p*ubNT/libidoladies13132.jpg?width=650)
SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWAEJq8ZTaMqn-12czQLHMKxmEA1CHvfef74UCiGX459dMaPSw*bkoz2oEisb6yrwZvq0R9MMlAv0VqoqXrXcBpj/hamuyatendo.jpg)
SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA-3
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0Cs-1DCTOIhgpbzvGedb4zqAkpKxnj**TuL-SqQRqzFHh3QSfOFzEaP6r3sGBzItPvGdHVCzrKTwOrUXgyLKK7W/libidoladies13132.jpg)
SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA - 4
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3W1nW*xrbLHvzKw884AieG4QeECsRqNe3WP3CyFRIOrYKf9JSoN18nZNg699cEX*mlx6A9jVRdFJOawijBVetdX/hamuyatendo.jpg)
SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA - 5