Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAWAKE TANESCO WASISITIZA USAWA WA KIJINSI KATIKA NGAZI ZA KIMAAMUZI

 Wafanyakazi Wanawake wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wakiwa kwenye maandamano kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo Kimkoa wa Dodoma yamefanyika katika Shule ya Msingi ya Mkonze jijini Dodoma.Wafanyakazi Wanawake wa Shirika la Umeme nchini Tanesco wakiwa kwenye picha ya pamoja katika maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo mkoani Dodoma yamefanyika jijini Dodoma.Wanafunzi wa Shule ya Msingi Amani jijini Dodoma wakiwa kwenye maandamano katika viwanja vya Mkonze katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Margareth Sitta akifungua semina ya Wanawake iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika leo 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akifungua sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB.
Benki ya CRDB imefanya hafla ya kusherehekea ‘Siku ya Wanawake Dunia’ ikilenga kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema Benki ya CRDB inachukulia kwa umuhimu suala la kumuwezesha mwanamke na ndiomana
Benki hiyo imetoa kipaumbele cha ajira kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake duniani 2020: Wanawake watoa wito wa usawa

Maandamano ya kuhamasisha suala la ubaguzi dhidi ya wanawake yamefanyika katika miji tofauti duniani kuadhimisha siku ya wanawake duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wanawake wasisitiza haki ya mama na mtoto

Mtandao wa Wanawake na Katiba kwa kushirikiana na asasi takribani 50 za kiraia zinazotetea haki za binadamu, umeendesha semina maalumu ya uchambuzi yakinifu wa Rasimu ya Pili ya Katiba inayotarajiwa kuanza kujadiliwa bungeni hivi karibuni.

 

11 years ago

Michuzi

UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII

DSC_0017 Pichani ni  Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani.

Shirika la Ufaransa la Alliance Francaise de Dar es Salaam liliandaa safari ya maonyesho iliyopewa jina “women in Resistance by the talented French photo-journalist...

 

11 years ago

GPL

UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII‏

Picha juu na chini ni Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani.…

 

9 years ago

Michuzi

Tanzania yatangaza hatua tano za kuendeleza haki za wanawake na usawa wa kijinsia


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116898

E-mail: ikulucommpress@googlemail.com

Website : www.ikulu.go.tz              

Fax: 255-22-2113425



PRESIDENT’S OFFICE,

      STATE HOUSE,

              1 BARACK OBAMA ROAD,  

11400 DAR ES SALAAM.

Tanzania.

  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Tanzania yatangaza hatua tano za kuendeleza haki za wanawake na usawa wa kijinsia

·        Yaahidi kufanya mabadiliko makubwa ya kisera na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyota wa Suffragette atetea usawa katika filamu

Mwigizaji Meryl Streep amesema ni jambo la “kuudhi sana” kwamba wengi wa watathmini wa filamu huwa ni wanaume.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani