Nyota wa Suffragette atetea usawa katika filamu
Mwigizaji Meryl Streep amesema ni jambo la “kuudhi sana†kwamba wengi wa watathmini wa filamu huwa ni wanaume.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v55AW2hZD0g/VLdCUeFSA8I/AAAAAAAG9aU/YVlCiyxELJQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
HASHIM KAMBI KUONGOZA NYOTA BONGO KATIKA FILAMU YA CPU
![](http://4.bp.blogspot.com/-v55AW2hZD0g/VLdCUeFSA8I/AAAAAAAG9aU/YVlCiyxELJQ/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Filamu ya CPU ni moja ya kazi kubwa sana kutengenezwa na watayarishaji wa ndani na kushirikisha wasanii zaidi ya 200 na ni filamu yenye ubora wa kipekee ambayo awali ilionyeshwa katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DJTjivD1pnE/XkmX3MjbW-I/AAAAAAALdpM/dVnYLRQ1B0cOA2xCmcymVybduVlNK8rWwCLcBGAsYHQ/s72-c/_110922490_nikita.png.jpg)
Muigizaji nyota katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa afariki Dunnia.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWIGIZAJI mdogo kabisa Nikita Pearl Waligwa aliyeng'ara katika filamu ya "Queen of Katwe" amefariki dunia akiwa na miaka 15 na kwa mujibu w vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti kuwa Nikita alipata tatizo la uvimbe kwenye ubongo.
Katika Filamu hiyo iliyotoka mwaka 2016 inamwelezea mtu mwenye maarifa kutoka maeneo ya makazi duni nchini Uganda aliyekuwa anacheza mchezo wa Chess.
Filamu hiyo ambayo ni kisa cha kweli Cha Phiona Mutesi ambaye alianza kucheza chess...
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia
Nikita Pearl Waligwa aliyeshiriki filamu iliyotolewa 2016, kuhusu mchezaji chess mwerevu wa Uganda alipatikana na uvimbe kwenye ubongo.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Nyota wa filamu ya Dracula afariki
Mwigizaji wa siku nyingi na nyota wa filamu zilizopendwa na wengi Sir Christopher Lee amefariki akiwa na umri wa miaka 93.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vTiH9EdcK0A/VNn4HfokBOI/AAAAAAAAenU/moMXVyN_1WQ/s72-c/slim.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia
Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani chini), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam.
Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho' mapema leo.
Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto...
![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s1600/unnamed+(6).jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Sep
AFP yazindua kampeni, yaahidi usawa katika ajira
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AFP), Said Soud Said amesema madhumuni ya kugombea nafasi hiyo ni kutaka kuondoa mfumo mbovu wa upatikanaji wa ajira visiwani hapa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MwyXBMdu9zg/XmU0r7AzGhI/AAAAAAALh_w/f-29-ifTDqk4kwO81hPQfr8l4qFZ_YFqgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.48.27%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WANAWAKE TANESCO WASISITIZA USAWA WA KIJINSI KATIKA NGAZI ZA KIMAAMUZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-MwyXBMdu9zg/XmU0r7AzGhI/AAAAAAALh_w/f-29-ifTDqk4kwO81hPQfr8l4qFZ_YFqgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.48.27%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WXHR4Nvy9dc/XmU0wLbmPkI/AAAAAAALh_4/2kLoQK0FAkojPimXQizDU9NnGixVgnaNQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.51.15%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IbuVMjwRuAk/XmU1U390MsI/AAAAAAALiAc/9_842qHLUjkrYYk7PmbK2w9az--DwEZjACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.53.36%2BPM.jpeg)
9 years ago
GPL11 Nov
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania