Nyota wa filamu ya Dracula afariki
Mwigizaji wa siku nyingi na nyota wa filamu zilizopendwa na wengi Sir Christopher Lee amefariki akiwa na umri wa miaka 93.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s1600/unnamed+(6).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DJTjivD1pnE/XkmX3MjbW-I/AAAAAAALdpM/dVnYLRQ1B0cOA2xCmcymVybduVlNK8rWwCLcBGAsYHQ/s72-c/_110922490_nikita.png.jpg)
Muigizaji nyota katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa afariki Dunnia.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWIGIZAJI mdogo kabisa Nikita Pearl Waligwa aliyeng'ara katika filamu ya "Queen of Katwe" amefariki dunia akiwa na miaka 15 na kwa mujibu w vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti kuwa Nikita alipata tatizo la uvimbe kwenye ubongo.
Katika Filamu hiyo iliyotoka mwaka 2016 inamwelezea mtu mwenye maarifa kutoka maeneo ya makazi duni nchini Uganda aliyekuwa anacheza mchezo wa Chess.
Filamu hiyo ambayo ni kisa cha kweli Cha Phiona Mutesi ambaye alianza kucheza chess...
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Nyota wa Suffragette atetea usawa katika filamu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v55AW2hZD0g/VLdCUeFSA8I/AAAAAAAG9aU/YVlCiyxELJQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
HASHIM KAMBI KUONGOZA NYOTA BONGO KATIKA FILAMU YA CPU
![](http://4.bp.blogspot.com/-v55AW2hZD0g/VLdCUeFSA8I/AAAAAAAG9aU/YVlCiyxELJQ/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Filamu ya CPU ni moja ya kazi kubwa sana kutengenezwa na watayarishaji wa ndani na kushirikisha wasanii zaidi ya 200 na ni filamu yenye ubora wa kipekee ambayo awali ilionyeshwa katika...
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...